ibirisi wa ccm naona mpo Ghetto kwa Amos makala mnavuta Bangi kwa wingi kisha mnajidanganya kuwa Dikteta Mkoloni kaburu Mama iddy Amin Dada Mtesi anapendwaKwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Anawatumikia wananchi ipasavyoMchapa kazi ya utekaji?
Sasa ni fupi kwani utabiri wa shekhe Yahya unanda kutimia ccm wenyewe watamgeuka na kukwengua kwenye mbio za UraisTuna safari ndefu sana...
Kupe bhanaKwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Kitu pekee kinachonipa nguvu hivi sasa ni kuona watanzania wameamka..Sasa ni fupi kwani utabiri wa shekhe Yahya unanda kutimia ccm wenyewe watamgeuka na kukwengua kwenye mbio za Urais
Nywanoko!
na dunia nzima inajua hivyo gentleman 🐒Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Si wamejifanya kuja Instagram na sisi tupo Instagram sasaBaada ya kudharauliwa kwa muda mrefu Watanzania sasahivi wamejipata. Kuna Jeshi la Mashambulizi limezaliwa Jana Tanzania linaitwa Tanzanians on Instagram (IG). Watu hawa wameanza kazi jana tu ila Pages zote za Serikali na machawa zilifunga comment sections. Mashambulizi yao nyuki wanasubiri😄
Waaache waendelee 😄 🤣Ndio mnazidi kuharibu kama hamjui
https://www.facebook.com/Kwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Na kweli amekuwa shujaa wa kuteka ,kubaka nankuua, huyo kweli ni shujaaKwa Bara la Africa Kwa Sasa kiongozi Bora ni Mama Samia maana amekuwa shujaaa Kwa muda mfupi Kulinda na KUTETEA Taifa lake Kwa Kila namna.
Anatutaftia dhambi 😄Huu ni uchochezi Mkubwa sana uliofanya hapa.
Umeanzisha mada hii ya uchokozi na ya uchochezi makusudi ili kusudi Watu wachangiaji wamkogeshe matusi ya nguoni Mtu huyo unayejifanya unamtetea hapa. Narudia tena kusema kwamba Huu ni uchochezi.