Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

Jaribu kuelewa suala si kujifungia ndani, kwanza tengeneza yanayohitajika ndani ili ajenda ya uwekezaji ifanikiwe kabla ya kutoka nje, pili wawekezaji hawatafutwi hivyo, unaweza ishia kupata matapeli tu, au basi vile umewafata wnakulazimisha ufanye wanavyotaka wao ili waitike mwaliko wako, hata km ni kwa gharama ya kuumiza watu wako!
Kuyasema unayo yasema ni kazi ndogo sana. Ngumu katika kuyatenda.
 
Kwa kweli ningesifu safari za aina ya dubai expo kama Rais angeenda kuonana na wawekezaji ambao wana track record nzuri yenye mafanikio kwenye eneo fulani walilowekeza na hivyo anawashawishi waje Tanzania pia wafanye kama walivyofanya sehemu nyingine..lakini si kwa staili hii ya dubai expo au ile ya ufaransa na ubelgiji..
Mtembea bure hafanani na anayejifungia ndani. Huwezi ukatawaliwa sana na ego kama hayati JPM halafu ukafanikiwa.

Ukiwa realist mwenye kuitazama dunia inakwenda vipi utawapata tu wawekezaji makini, kuliko kukosoa ukatengeneza maadui wengi halafu bado huna uwezo wa kufaidika na Mungu alichotujalia kwa asilimia angalau 50. No man is an ireland.
 
Mtembea bure hafanani na anayejifungia ndani. Huwezi ukatawaliwa sana na ego kama hayati JPM halafu ukafanikiwa.

Ukiwa realist mwenye kuitazama dunia inakwenda vipi utawapata tu wawekezaji makini, kuliko kukosoa ukatengeneza maadui wengi halafu bado huna uwezo wa kufaidika na Mungu alichotujalia kwa asilimia angalau 50. No man is an ireland.
Kwa anayetumia vzr akili aliyopewa na muumba, kila tatizo jibu lake liko naye karibu..hakuna aliyepewa akili ya kukimbilia wengine kumtatulia matatizo, kwa anayefanya hivyo, hiyo ni dalili ya uwepo wa kasoro..na kamwe approach hiyo haitamuondolea au kumpunguzia matatizo aliyo nayo zaidi ya kuongeza mengine juu ya aliyo nayo.
 
Kwa anayetumia vzr akili aliyopewa na muumba, kila tatizo jibu lake liko naye karibu..hakuna aliyepewa akili ya kukimbilia wengine kumtatulia matatizo, kwa anayefanya hivyo, hiyo ni dalili ya uwepo wa kasoro..na kamwe approach hiyo haitamuondolea au kumpunguzia matatizo aliyo nayo zaidi ya kuongeza mengine juu ya aliyo nayo.
Haya uliyoandika sio mageni, tangu uhuru watanzania wamekuwa wakiyarudia na hakuna jipya linalofanyika.
 
Haya uliyoandika sio mageni, tangu uhuru watanzania wamekuwa wakiyarudia na hakuna jipya linalofanyika.
Tena unayoandika wewe sasa yanadhihirisha pasi na shaka..kwanza elimu ya tz haiondoi ujinga tena, pili nchi inaongozwa na watu hawakupaswa kuongoza sababu malezi na makuzi yao yameathiriwa na utegemezi, akili yao haitaki kutafuta majibu ya matatizo, inafikiria kupata vitu vzr kwa njia ya mkato..ndio maana nchi ipo hapa ilipo, miaka 60 baada ya uhuru yupo mtu anaandika ujinga wa kujipeleka mwenyewe utumwani! kisa shibe ya leo na kesho! Ndio wewe..!
 
Tena unayoandika wewe sasa yanadhihirisha pasi na shaka..kwanza elimu ya tz haiondoi ujinga tena, pili nchi inaongozwa na watu hawakupaswa kuongoza sababu malezi na makuzi yao yameathiriwa na utegemezi, akili yao haitaki kutafuta majibu ya matatizo, inafikiria kupata vitu vzr kwa njia ya mkato..ndio maana nchi ipo hapa ilipo, miaka 60 baada ya uhuru yupo mtu anaandika ujinga wa kujipeleka mwenyewe utumwani! kisa shibe ya leo na kesho! Ndio wewe..!
Maendeleo sio malalamiko na matusi ni mchakato wenye kuhitaji mchango wa kila raia. Tangu uhuru wenye kuongea kama wewe ni mamilioni ya watu.

Kipi cha maana tumepata kupitia malalamiko na ujuaji?. hakuna kitu. Tu we wavumilivu tu hizi kelele ni kama za chura tembo anakunywa maji na ataondoka kisimani kiu imemuisha.
 
Maendeleo sio malalamiko na matusi ni mchakato wenye kuhitaji mchango wa kila raia. Tangu uhuru wenye kuongea kama wewe ni mamilioni ya watu.

Kipi cha maana tumepata kupitia malalamiko na ujuaji?. hakuna kitu. Tu we wavumilivu tu hizi kelele ni kama za chura tembo anakunywa maji na ataondoka kisimani kiu imemuisha.
Akili ya mjinga inaona hayo unayosema, hata kama wmesema watu kabla ya uhuru, maadam kodi wnakusanya hatuwezi kukaa kimya! hatulalamiki na hatupigi kelele lbd wewe ndio unaleta kelele, kodi yetu hatutaki itumiwe safari hazina matokeo kwa nchi..huo ndio ujumbe! aina ya maneno yako yanaonyesha akili yako inaona si zaidi ya urefu wa pua yako! Lakini tunachokisema kina athari leo au kesho wewe vimbisha kiburi cha shibe ya leo na kesho! mshahara wako upo..
 
Akili ya mjinga inaona hayo unayosema, hata kama wmesema watu kabla ya uhuru, maadam kodi wnakusanya hatuwezi kukaa kimya! hatulalamiki na hatupigi kelele lbd wewe ndio unaleta kelele, kodi yetu hatutaki itumiwe safari hazina matokeo kwa nchi..huo ndio ujumbe! aina ya maneno yako yanaonyesha akili yako inaona si zaidi ya urefu wa pua yako! Lakini tunachokisema kina athari leo au kesho wewe vimbisha kiburi cha shibe ya leo na kesho! mshahara wako upo..
Wewe endelea kulalamika huku jukwaani, wakati wenye mawazo mapana ya kibiashara wanaitumia kodi yako kutajirika.
 
Bora umaskini wa vitu kuliko kuwa fukara wa fikra, kwa hiyo majibu ya changamoto za ndani yako kwenye fursa za kidunia..
Mafukara wa fikra ni nyinyi mnaopinga kila kinachofanyika. Fungukeni itawasaidia kukuza uelewa wenu wa kinachofanyika.

Sio mnalialia kila kukicha.
 
Wewe endelea kulalamika huku jukwaani, wakati wenye mawazo mapana ya kibiashara wanaitumia kodi yako kutajirika.
Mafukara wa fikra ni nyinyi mnaopinga kila kinachofanyika. Fungukeni itawasaidia kukuza uelewa wenu wa kinachofanyika.

Sio mnalialia kila kukicha.
Utakuwa punguani km tunachoandika wewe unaona tunalalamika au tunapiga kelele..tusipolipa kodi pesa za kwenda dubai expo watatoa mifukoni mwao? Hatutaki kodi yetu igharimie starehe..wala hakuna anaelia, usiweke tafsiri zako ukadhani tutaacha kusema..nadhani mwenye akili ameelewa ujumbe tunaotoa kwa wahusika!
 
Utakuwa punguani km tunachoandika wewe unaona tunalalamika au tunapiga kelele..tusipolipa kodi pesa za kwenda dubai expo watatoa mifukoni mwao? Hatutaki kodi yetu igharimie starehe..wala hakuna anaelia, usiweke tafsiri zako ukadhani tutaacha kusema..nadhani mwenye akili ameelewa ujumbe tunaotoa kwa wahusika!
Hiyo kodi yako unayolipa ni lazima izalishe. Hao wanaofuatwa huko Dubai wanakuja na tekonolojia ya juu itakayoitumia kodi yako vizuri.

Wanapokuja wawekezaji wa kilimo wanakuja na mtaji wao ukichanganya na kodi yako, kinachozalishwa kinakuwa na thamani kubwa kuliko mwanzo.

Wanapokuja wawekezaji wanaleta maarifa ukumbuke hilo. Na huwezi kukwepa ushirikiano katika dunia ya sasa, iwe ni kwenye shida iwe ni raha.

Wazungu wa magharibi wanaitetea Ukraine, wakitambua kuwa wakati wa amani wanafanya nini wakishirikiana na watu wa Taifa hilo.

Kodi yako inaweza kuwa ndogo sana kulinganisha na kile wanacholipa kina Bakhresa na Mo Dewji na wamekaa kimya tu hawapandishi mabega wala kuandika utumbo humu jukwaani.
 
Hiyo kodi yako unayolipa ni lazima izalishe. Hao wanaofuatwa huko Dubai wanakuja na tekonolojia ya juu itakayoitumia kodi yako vizuri.

Wanapokuja wawekezaji wa kilimo wanakuja na mtaji wao ukichanganya na kodi yako, kinachozalishwa kinakuwa na thamani kubwa kuliko mwanzo.

Wanapokuja wawekezaji wanaleta maarifa ukumbuke hilo. Na huwezi kukwepa ushirikiano katika dunia ya sasa, iwe ni kwenye shida iwe ni raha.

Wazungu wa magharibi wanaitetea Ukraine, wakitambua kuwa wakati wa amani wanafanya nini wakishirikiana na watu wa Taifa hilo.

Kodi yako inaweza kuwa ndogo sana kulinganisha na kile wanacholipa kina Bakhresa na Mo Dewji na wamekaa kimya tu hawapandishi mabega wala kuandika utumbo humu jukwaani.
Kodi ni kodi inawezekana tunayolipa sisi as group ni kubwa kuzidi uliowataja..nadhani hauko sawa kichwani, btw the lines..you sound compromised..tumbo ndio linaongea, toka umefahamu tz ni nchi ya kilimo lini ulisikia kuna mwekezaji kwenye kilimo..aliyetembea dunia nzima kwanza km waziri foreign affairs 10 yrs then km Rais 10 yrs hata mwekezaji tu wa mboga mboga hakupatikana wewe ndio utaweza? jaza tumbo tu kwa kutetea kibarua hata km inabidi uwe juha!
 
Kodi ni kodi inawezekana tunayolipa sisi as group ni kubwa kuzidi uliowataja..nadhani hauko sawa kichwani, btw the lines..you sound compromised..tumbo ndio linaongea, toka umefahamu tz ni nchi ya kilimo lini ulisikia kuna mwekezaji kwenye kilimo..aliyetembea dunia nzima kwanza km waziri foreign affairs 10 yrs then km Rais 10 yrs hata mwekezaji tu wa mboga mboga hakupatikana wewe ndio utaweza? jaza tumbo tu kwa kutetea kibarua hata km inabidi uwe juha!
Mnapoishiwa hoja huwa mnakimbilia haraka sana kutukana. Mtembea bure sio sawa na mkaa bure ukumbuke kauli hiyo. Wewe unayeongea kwa kutumia akili huna cha maana kwa kushindwa kuelewa kwamba jana na juzi sio leo wala kesho.

Usikariri kushindwa kwa JK ndio kukawa kushindwa kwa SSH, ni nyakati mbili tofauti. Kila kiongozi anakuja na kipaji chake, anakuja na uwezo wake wa kujenga hoja na zikaeleweka kwa hao anaozungumza nao.

Ukumbuke kuwa JPM alivuruga sana diplomasia yetu kwa kutanguliza kiburi mbele ya jamii ya kimataifa. SSH amekuja na falsafa zake za kumtumia Mulamula.

Kama wewe unaona ni ujinga safari ya Dubai, waache wenye kuona umuhimu wake wafaidike na uwekezaji unaokuja siku zijazo.
 
Back
Top Bottom