Nyabutoro
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 1,340
- 1,590
Ni mke wa mtu ujue, msiwe mnaleta mambo yenu, mnaangalia mabaya TU, sifieni kidogo basi.Mnakuwa kama shetani mshitaki wetu duh!Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.
Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.
Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!
View attachment 2114128