Rais Samia na matumizi ya kodi zetu

Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Ni mke wa mtu ujue, msiwe mnaleta mambo yenu, mnaangalia mabaya TU, sifieni kidogo basi.Mnakuwa kama shetani mshitaki wetu duh!
 
'Nobody is home ' nimecheka kama vile mazuri!!!
Hiyo ni idiom. Huwezi kuelewa .Jifunze kiingereza kabla hujajifanya kukosoa.Na huwezi kuileta nusu inakuwa haileti maana.Sikulaumu tuition zipo nyingi kajiongeze.
 
Kama sikosei atakuwa amewaaga na machifu wenzie, kwenye kujiweka sawa na ulinzi uleeee............
 
Nyinyi chawa dawa yenu ni hii moja tu. Tunawabinya hivyo vichwa vyenu kwa kutumia vidole, na mwisho wa siku mnaishia tu kutapika huu uvundo wenu.
Wewe kunguni tu.Nguvu uliyonayo na iliyobaki ni ya kusukuma mavi .
Utabaki kulalama tu huna cha kufanya.Kibapara.
 
Wewe kunguni tu.Nguvu uliyonayo na iliyobaki ni ya kusukuma mavi .
Utabaki kulalama tu huna cha kufanya.Kibapara.
Baada ya kushiba, umeamua uje kujamba jamba humu na mistari yako ya kukariri! Chawa ni viumbe wa kipuuzi sana.

Na tutawabinya sana hivyo vichwa vyenu, mpaka hapo mtakapo isha wote.
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Du, mapema namna hii. Ndio kwanza mwaka unaanza PUMBA zinatawala JF. JF ni uwanja wa Fikra mpya, Fikra kubwa na ni mlango/dirisha la kutokea TZ. PUMBA si mahala pake hapa!

Njia yeyote ipo huru kwa Rais kupitia. Kwanza marais wengine wanaficha muda hata njia wanazopitia. La msingi kaenda kulikoelezwa na kukusudiwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Na sisi tunashangilia pesa zinapigwa haswa
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128

8902E803-3FA2-4641-9456-156B7EC3842E.jpeg
 
Kwa hili la kusafiri namuunga mkono Hangaya , maana wakati wa mwendazake watu waliponda sana ooh mgonjwa mara anaogopa ndege etc. Kwenye hili muacheni asafiri na atafute connections haiwezekani mtu ujifungie ndani tu Tanzania sio kisiwa, aupige tu mwingi kama alivyokua baba JK kwa ni shing ngapi bana , tuwe na appreciation wakati mwingine, hata angekua hasafiri mgesema pia
 
Rais Samia haruhusiwi kwenda kuaga kwao?
The lights are on but nobody is home.
Talk sense to a fool and he will call you foolish.
JF inaposogea kuwa META siku hadi siku.
Mada zisizo na kichwa wala miguu ndio 90% ya mada zote.

A9373E23-1410-4F99-A013-12E3CAC7F99D.jpeg
 
Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.

Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.

Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!

View attachment 2114128
Nongwa za watanzania hazina tofauti na zile za waingereza, ni zile zile tu. Kwenda Zanzibar limekuwa kosa la kuandikiwa uzi!!.

Hizi akili za kimaskini.
 
Back
Top Bottom