Rais Samia mteue Mwanamama Dr. Frannie Léautier kuwa mshauri wako au mpe nafasi yoyote kubwa

O level amesoma Kifungilo akatoka na Div 1 ya point 10, A level amesoma PCM Jagwani, katoka na One ya point 3 akatikia majuu!.

Nikiwa US, yeye akiwa Vice President wa World Bank Instute, baada ya kusikia ni Mtanzania aliyesoma Kifungilo na Jagwani, si nikafurahi, nikaomba impromptu interview, si nikaongea Kiswahili!, la haula!. Eti ... naomba nisimalizie!.
P
Kiswahili anakijua vizuri Ingia YouTube

Huyu mama mimi nimeanza kuongea toka kipindi cha Magufuli apewe nafasi atumikie nchi nikapuuzwa na kipindi hiki cha mama Samia nimeomba amteue amsaidie sio kesi asipompa

Huyo mama umri umeenda sana yuko beyond money kama Waziri wa mambo ya nchi za nje mama Mulamula

Umri waliofikia hawahitaji pesa tena

They are beyond money or allowonce au kiswahili
 
Ni mwanamama smart sana. UDSM akiwa bado anaitwa Frannie Humplick alikuwa mwanafunzi wa Professor Bhandari aliyemuunganishia kwenda MIT kusoma transportation engineering. Ni binti wa mwanamnzuziki wa zamanai Frank Humplick aliyekuwa na bendi inaitwa Frank na Dada Zake.

It is true Anil Bhandari alimuunganisha toka UDSM akapata scholarship ya kwenda MIT where she performed very well na ndio akapata kazi WORLD BANK ambako walifanya kazi na mwalimu wake tena. She rose to a very senior position within the World Bank as such she could be a very valuable resource kwa nchi. Huyu mama hana njaa hivyo atakuwa msaada sana.
Ishara moja Samia aliionesha wakati anawahutubia waTanzania pale Washington D.C ni kuwa hapendi kufanya kazi na watu waliomzidi umri pengine awe Kikwete!! Hilo alilionesha pale aliposema oneni vijana wangu hapo hakuna ninayemuamkia nikikutana nao asubuhi!!
Kama Kikwete anaweza kuwa na msaada kwake wa ushauri kutokana na anachoamini uzoefu wake kwanini hadhani uzoefu wa wengine unaweza kuwa msaada kwa maendeleo ya nchi? Huko Marekani alikotembelea Serikali inatumia sana watu wenye experience katika nyanja mbali mbali strategic. Hivyo Samia asiwaogope wastaafu wanaweza kuwa na msaada kwa maendeleo ya nchi kutokana na experience yao!!!

Watu wa namna hii hawahitaji teuzi, hawa hutumiwa kama consultants on specific issues. Mfano ni kama kuna masuala yanayohusu world Bank itakuwa rahisi kufanikisha mkimtumia huyu mama Kwani anauzoefu wa jinsi mambo yanavyofanywa kule badala ya kutumia vijana ambao ingawa ni makatibu wakuu lakini hawajawahi kufika hata Washington D.c. hivyo hawazijui corridors za World Bank! Yeye mwenyewe Samia nadhani ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kufika World bank HQS!
 
O level amesoma Kifungilo akatoka na Div 1 ya point 10, A level amesoma PCM Jagwani, katoka na One ya point 3 akatikia majuu!.

Nikiwa US, yeye akiwa Vice President wa World Bank Instute, baada ya kusikia ni Mtanzania aliyesoma Kifungilo na Jagwani, si nikafurahi, nikaomba impromptu interview, si nikaongea Kiswahili!, la haula!. Eti ... naomba nisimalizie!.
P
Pascal hoja yako iko below standard. Wanao wanaongea kisukuma fluently?

Unatia aibu kwa hiyo tuache mtanzania mwenzetu expert bank ya Dunia na Afrikan development bank na expert private sector kisa haongei kiswahili kizuri ?

Pascal Mayala umeniangusha sikujua kuwa una akili ndogo kiasi hiki loo
 
Huyu bibi tumpeleke wapi?
Kutumia experience na connection zake nimeomba awe mshauri wa Raisi nimepiga yowe toka kipindi cha Magufuli nikadharauliwa huyu mama hata hanijui sio ndugu yangu wala kabila yangu .Anyway silazimishi ushauri sio lazima uzingatiwe
 
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016

Pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
Kws CV ya Kutukuka ya huyu Mama akiteuliwa tu na kuwa sehemu ya Serikali kwa Uswahili na Upuuzi uliopo na atakaokuta huko haraka sana Heshima na Credibility yake itashuka na ataanza Kudharaulika.
 
Mwl. Mashiku alihamishiwa kijijini kwetu akitokea Dar es salaam akiwa mtanashati, smart, anavaa viatu, nk. Wanakijiji tukasema tumpe miezi 3 atakuwa kama sisi.

Hata miezi 3 haikufika...akawa anatuwahi kwa mama Muuza gongo,...na mwisho akatuzidi akahamia kabisa!

Huyo mama bora akae huko awe anatutumia ushauri kwenye group letu kabla hajaharibiwa na akina Kigwangala!
 
O level amesoma Kifungilo akatoka na Div 1 ya point 10, A level amesoma PCM Jagwani, katoka na One ya point 3 akatikia majuu!.

Nikiwa US, yeye akiwa Vice President wa World Bank Instute, baada ya kusikia ni Mtanzania aliyesoma Kifungilo na Jagwani, si nikafurahi, nikaomba impromptu interview, si nikaongea Kiswahili!, la haula!. Eti ... naomba nisimalizie!.
P
Mayalla, wakati anasoma huyu dada hapakuwa na mambo ya Division 1 ya point 10 au Division 1 point 3. Watu walikuwa wanapata divisions tu bila point. Hayo ya point ni ya siku za karibuni.

Amandla...
 
Kws CV ya Kutukuka ya huyu Mama akiteuliwa tu na kuwa sehemu ya Serikali kwa Uswahili na Upuuzi uliopo na atakaokuta huko haraka sana Heshima na Credibility yake itashuka na ataanza Kudharaulika.

She could serve as special consultant to Chief Hangaya on special issues hasa zinazohusiana na world bank; hasa hasa kwavile Mwigulu ni mwepesi kwenye International arena! Analipwa kutokana na assignments atakazofanya sio mshahara wa kila mwezi!
She will be doing a service to the country kwasababu mshahara wake huyu mama alipokuwa huko majuu hata mshahara wa chief Hangaya anaolipwa haufikii!!
 
Mayalla, wakati anasoma huyu dada hapakuwa na mambo ya Division 1 ya point 10 au Division 1 point 3. Watu walikuwa wanapata divisions tu bila point. Hayo ya point ni ya siku za karibuni.

Amandla...

Mambo ya points kwenye Divisions yako toka enzi za CAMRIDGE SCHOOL CERTIFICATES !!! Pengine kabla hujazaliwa!
 
Mambo ya points kwenye Divisions yako toka enzi za CAMRIDGE SCHOOL CERTIFICATES !!! Pengine kabla hujazaliwa!
Sio kuzaliwa. Ila sikujaliwa kusoma kama mlivyosoma nyie. Kama msomi kama wewe unasema zilikuwepo Fundi Mchundo wa Grade Test 2 hawezi kukubishia.

Amandla...
 
Mimi ninazungumza kwa uhakika vyeti vyangu vya enzi hizo kabla ya vidatu vyenu vina DIVISIONS NA POINTS!!
Sasa mbona haujiamini? Nani kakubishia? Ninachojua ni kuwa rafiki zangu wote waliojaliwa kuendelea na shule waliniambia kuwa walikuwa wanapewa grades tu ( A, B, C n.k.) katika kila somo. Na watu waliambiwa wamepata Div fulani na kila somo grade yake. Sikuwahi kuwasikia wanazungumzia point. Ila walikuwa wanasisitiza kigezo kikubwa kilikuwa ni kupasi kiswahili na siasa. Ila nahisi walikuwa wananidanganya maana wewe msomi wa Cambridge unasema haikuwa hivyo!

Amandla...
 
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016

Pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
Dr. Frannie studied Korogwe girls secondary and High school ,first degree in engineering at UDSM before leaving for US
 
She could serve as special consultant to Chief Hangaya on special issues hasa zinazohusiana na world bank; hasa hasa kwavile Mwigulu ni mwepesi kwenye International arena! Analipwa kutokana na assignments atakazofanya sio mshahara wa kila mwezi!
She will be doing a service to the country kwasababu mshahara wake huyu mama alipokuwa huko majuu hata mshahara wa chief Hangaya anaolipwa haufikii!!
Uko sahihi
Ukipata mtu senior. Kufanya kazi dawati la benki za kimataifa ana vitu vizito aweza kukushauri
Anyway sio kesi nimeshauri tu ushauri waweza zingatiwa au kutupiliwa mbali

Ruksa kuchukua watu ambao hawana experience yeyote na mabenki ya kimataifa wanaenda na notisi tu walizosoma vyuoni kushauri au ku negotiate sio kesi

Ok huyu mama anybody asiyejielewa can treat her as an old dog who can't bite !! It is not a big issue!! hahitaji uteuzi kuendesha maisha ana monthly pension za Madola nyingi kuliko mshahara wa mbunge wa Tanzania hata wa Raisi!!
 
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016

Pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
Bila shaka una matatizo ya akili wewe. Wahi Milembe. Punguani wewe.
 
Back
Top Bottom