Rais Samia mteue Mwanamama Dr. Frannie Léautier kuwa mshauri wako au mpe nafasi yoyote kubwa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,911
51,889
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016

Pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
 
Mwl. Mashiku alihamishiwa kijijini kwetu akitokea Dar es salaam akiwa mtanashati, smart, anavaa viatu, nk. Wanakijiji tukasema tumpe miezi 3 atakuwa kama sisi.

Hata miezi 3 haikufika...akawa anatuwahi kwa mama Muuza gongo,...na mwisho akatuzidi akahamia kabisa!

Huyo mama bora akae huko awe anatutumia ushauri kwenye group letu kabla hajaharibiwa na akina Kigwangala!
 
Mwl. Mashiku alihamishiwa kijijini kwetu akitokea Dar es salaam akiwa mtanashati, smart, anavaa viatu, nk. Wanakijiji tukasema tumpe miezi 3 atakuwa kama sisi...
Hata miezi 3 haikufika...akawa anatuwahi kwa mama Muuza gongo,...na mwisho akatuzidi akahamia kabisa!
Huyo mama bora akae huko awe anatutumia ushauri kwenye group letu kabla hajaharibiwa na akina Kigwangala!
Kweli bongo bahati mbaya
 
CV yake hkwa urefu hiyo

Frannie Léautier is a Tanzanian civil engineer, academic, and international finance and development consultant. She leads and helps organizations in the private, public, and not-for-profit spheres thrive in advanced and emerging economies.

Frannie Léautier
Born:Moshi, Tanzania

Education
University of Dar es Salaam
(BSc in Civil Engineering)
Massachusetts Institute of Technology
(MSc in Transportation)
(PhD in Civil Engineering)


Occupation

Civil Engineer, International Development Finance and Banking Executive and Independent Board Member
Years active
1994 — present
Title
Senior Partner, SouthBridge Group SouthBridge, investment bank providing pan-African financial solutions
Early life

Career

Léautier engaged with the World Bank in 1992 on the strategy for infrastructure in the 1990s. She joined the organization full-time in 1994, working in Washington, DC, for the next 15 years.[1] She worked in various roles, including as Director of Infrastructure for a year in 2000. For the next 12 months, in 2001, she served as the Chief of Staff to the President of the World Bank Group, at that time James Wolfensohn. For the last six years of her tenure at the World Bank from 2001 to 2007, she was in charge of the World Bank Institute.[2]

After she left the World Bank, Léautier co-founded the Fezembat Group, a consultancy partnership based in Castelnau de Montmiral, France, where she worked as the Managing Partner from 2007 until 2009.

From July 2009 until November 2013, Léautier relocated to Harare, Zimbabwe, and worked as the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation, a non-profit organization. She concurrently served as a Distinguished Professor at Sciences Po, Paris, from 2007 until December 2013.

In December 2013, Léautier returned to Tanzania and served as the co-founder, partner, and chair of Mkoba Private Equity Fund, which invested in emerging opportunities in the African continent, working there for two-and-a-half years until June 2016.[3]

In 2017, Léautier was one of the candidates to succeed Mark Dybul as executive director of the Global Fund to Fight AIDS, Tuberculosis and Malaria (GFATM); the position eventually went to Peter Sands.[4][5][6]

Léautier left Mkoba to rejoin the Fezembat Group, where she continued as a strategic advisor. She served as vice-chair of the Board, the first independent board director and special advisor to the President.

Léautier took a stint at the African Development Bank (AfDB), serving as its Senior Vice President.[7][8] She joined the Trade and Development Bank (TDB) in Nairobi as its Chief Operating Officer in July 2018.[9][10] In 2019, she became Executive Director for the Asset Management side of the Bank's business.

In May 2020, The SouthBridge Group announced the appointment of Léautier as a Senior Partner.[11] Prior to the announcement, she had successfully served as a non-executive Board member and Chairperson of the Group’s Board Risk & Audit Committee. As a Senior Partner, Léautier is responsible for new business development and will pursue the Group’s ambitious strategy of growth in markets with demand for advisory services as well as taking on responsibility for investment activities.

Other activities

Léautier served/serves as a board member on several regional and international organizations, including:

United Nations Foundation, Member of the Board (since 2019)[12]
World Future Council, Member (since 2019)[13]
African Risk Capacity (ARC), Chair of the Risk and Audit Committee (since 2018)
African Culture Fund (ACF), Member of the Board of Directors[14]
Institute for Security Studies, Member of the Advisory Board
Orca Exploration Group Inc., Member of the Board
Institute for Integrated Transitions (IFIT), Member of the International Advisory Council[15]
World Economic Forum (WEF), Member of the Regional Advisory Group for Africa
Commissioner on the Economy and Climate - New Climate Economy
Uongozi Institute (Leadership Institute), founding Member of the Board
African Economic Research Consortium (AERC), Treasurer, Director at Large
Massachusetts Institute of Technology Corporation, Visiting Committee Member
Nelson Mandela African Institute of Science and Technology, Founding Member
Journal of Infrastructure Systems, Founding Member
King Baudouin Foundation USA, former Member of the Board of Trustees[16]
Women's World Banking, former Member of the Board of Trustees[17]
 
Atulie tu huko huko. Akija hapa atakuja kutana na design za kina Lipumba aishie kuwa msomi jina tu mwenye vitendo mithili ya mtu ambae hajawahi hata kanyaga darasa.
Hii nchi ina kipaji kikubwa cha kuweza kumfanya mtu apoteze dira na muelekeo.
 
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016
pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
Kwa CV hiyo huyu Mama akabidhiwe ATCL kama MD, akaifanyie restructuring, ikishindikana tuiuze mazima!
 
Ni mwanamama smart sana. UDSM akiwa bado anaitwa Frannie Humplick alikuwa mwanafunzi wa Professor Bhandari aliyemuunganishia kwenda MIT kusoma transportation engineering. Ni binti wa mwanamnzuziki wa zamanai Frank Humplick aliyekuwa na bendi inaitwa Frank na Dada Zake.
 
Kuna akina mama watanzania ambao ni vichwa na wanafanya maajabu kusaidia watanzania.MMojawapo ni huyu mama Dr. Frannie Léautier mwenyeji wa Lushoto na Karibuni alikuwa Makamu wa Raisi wa Benki ya Maendeleo ya Africaambako aliteuliwa tarehe 9 may 2016

Pia mekuwa MWENYEKITI wa Mkoba Private Equity fund ambayo inafanya kazi nchi mbali mbali chini ya uongozi wake.

Huyu mama kasoma kwenye chuo kinachoongoza kwa ubora duniani cha Massachusetts Institute of Technology (MIT) ambako kasomea degree zake zote mbili ya Master of Science in Transportation na PhD in engineering.

Huyu mama nimemsikia mwenyewe kipindi cha ITV kilichorushwa tarehe 11/1/ 2015 kuanzia saa 3 hadi saa tatu na nusu usiku.Huyu mama ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia watanzania.Unaweza omba hiyo Telecast kutoka ITV umsikilize mwenyewe.Mama yuko vizuri

Hata kama hamna nafasi ya ubunge mtafutie nafasi.Wasomi wachache sana na wataalam kama huyu waweza rudi nchini kuwasaidia wata2nzania wenzao.

Ni mama ana shughuli zake wala hagangi njaa kwa mtu ninachokuomba mheshimiwa Raisi mbembeleze mpe nafasi hata ya ushauri wa raisi,mkurugenzi mtendaji wa taasisi za kifedha,au cheo chochote kikubwa sana kinacholingana na hadhi na uwezo wake.Inaweza kuwa vigumu yeye kukubali lakini mimi naomba na yeye akusikilize kama utamwomba

Ingekuwa baraza hujaliunda ningetaka umpe ubunge na uwaziri moja kwa moja.

CV YAKE KWA UFUPI HII HAPA

Dr. Léautier is a Tanzanian national with more than 20 years of management and operational experience from the private sector and international development institutions.

She has worked extensively in emerging markets in Asia and Latin America as well as in 49 countries in Africa. Dr. Léautier worked for World Bank in various capacities including as Director of Infrastructure, Vice President and Head of the World Bank Institute, and Chief of Staff to the President of the World Bank. After leaving the World Bank, Dr. Léautier became the Founder and Managing Partner at The Fezembat Group, a company focused on risk management and leadership development.

Most recently, she was the Executive Secretary of the African Capacity Building Foundation (ACBF) based in Harare, Zimbabwe from 2009 to 2013. Dr. Léautier has a strong track record in management, capacity building and operations with a specialty in turning around organizations to better performance, establishing and enhancing brand, and restructuring non-performing portfolios. Her expertise and experience entails leading and developing high performance teams, ensuring effective strategies for entry and delivery in a variety of sector settings and scenarios.

This experience has been gained from having restructured multiple organisations and departments while at the World Bank as well as at the ACBF. Dr. Léautier holds a Master of Science in Transportation from Massachusetts Institute of Technology (MIT) and a PhD in engineering from MIT.
Wataalamu kama hawa wakija Tz huwa wanaharibiwa na siasa za ccm.

Kuna yule dokta malisela sijui aliishia wapi baada ya kupingana na magufuli.

Labda katiba ibadilishwe otherwise hata ushauri wake hautasikika.
 
Wataalamu kama hawa wakija Tz huwa wanaharibiwa na siasa za ccm.

Kuna yule dokta malisela sijui aliishia wapi baada ya kupingana na magufuli.

Labda katiba ibadilishwe otherwise hata ushauri wake hautasikika.
Usiwe mtumwa wa historia
 
Hivi tuna wasomi wangapi nchi hii na bado hajafanya chochote kwenye hizo nafasi za kupewa. Mfano:kabudi ,mwale, muhongo,omar nundu.

Tatizo letu kubwa ni siasa kua juuu ya taaluma. Waliletwa wangapi kutoka nje,kipi wamefanya?.

Binafsi mimi nikiona mwana taaluma yeyote amekubali hizi teuzi,namdharau tuuu.maana najua fika taaluma ya mteuaji ndio itayo amua mteuliwa afanye nini na asifanye nini.
 
Huyu mama ni jembe la watanzania lisilotumika. Sidhani kama CCM ya wana iyena iyena itataka watu kama hawa. Bahati mbaya sana. Profile yake tamm sana. Hii ni mbegu bora sana kama kina Salim Ahmed Salim, Dr Mahiga, Amb Nyakhi, huyu jamaa MD wa TPDC...Hongera sana mama.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom