YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
- Thread starter
- #21
Mimi nimependekeza yaliyobaki hayanihusuHuyu mama ni jembe la watanzania lisilotumika. Sidhani kama CCM ya wana iyena iyena itataka watu kama hawa. Bahati mbaya sana. Profile yake tamm sana. Hii ni mbegu bora sana kama kina Salim Ahmed Salim, Dr Mahiga, Amb Nyakhi, huyu jamaa MD wa TPDC...Hongera sana mama.