figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Rais Samia ameonesha Ushujaa ukomavu mkubwa na Ushujaa wa nguvu, kumteua Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi.
Kutokana na ajali kuongezeka barabarani, ni muda mwafaka rais kumchukua Mkuu wa Polisi Mkoa wa Rukwa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Theopista Mallya, awe Mkuu wa Usalama Barabarani.
Mara rais Samia ulipoingia Madarakani, Kwa takwimu, watu 1,191 walifariki dunia na 2,139 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabarani 1,594 zilizotokea nchini kati ya mwezi Julai mwaka 2021 na mwezi Machi mwaka 2022 likiwa ni ongezeko la silimia 29.8.
Na Jeshi la Polisi wote kufa wanaona kawaida wala hawawajibishani. Nia wanataka watu waseme Rais Samia haufanyi kazi. Hii ni hujuma.
ACP Theopista Mallya atawawanyosha Matrafiki Wapokea Rushwa na Madereva Wazembe.
Ni Wakati wa watendaji wapenda haki Serikali watiwe moyo sababu wanapitia Magumu mengi.
Kuteuliwa kwa ACP Theopista Mallya kitafanya Watendaji wengine wajue kumbe ukiwa mchapa kazi mzuri Serikali inaona. Tusiishie kuwapa vyeti siku ya Mei Mosi tu.
Naamini ACP Theopista Mallya hatatuangusha. Nenda kafanye kazi. Tujivunie kuteuliwa kwako.
Je, ni nani Askari Mwadilifu mwingine unadhani anafaa kuwa Mkuu wa Usalama Barabarani? Mpendekeze rais amuone.
Pia soma; Viva Tanzania, Viva Afande SACP Susan Kaganda, Rais Samia ni Msikivu
Rais Samia ameonesha Ushujaa ukomavu mkubwa na Ushujaa wa nguvu, kumteua Suzan Kaganda kuwa Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi.
Kutokana na ajali kuongezeka barabarani, ni muda mwafaka rais kumchukua Mkuu wa Polisi Mkoa wa Rukwa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Theopista Mallya, awe Mkuu wa Usalama Barabarani.
Mara rais Samia ulipoingia Madarakani, Kwa takwimu, watu 1,191 walifariki dunia na 2,139 kujeruhiwa kutokana na ajali za barabarani 1,594 zilizotokea nchini kati ya mwezi Julai mwaka 2021 na mwezi Machi mwaka 2022 likiwa ni ongezeko la silimia 29.8.
Na Jeshi la Polisi wote kufa wanaona kawaida wala hawawajibishani. Nia wanataka watu waseme Rais Samia haufanyi kazi. Hii ni hujuma.
ACP Theopista Mallya atawawanyosha Matrafiki Wapokea Rushwa na Madereva Wazembe.
Ni Wakati wa watendaji wapenda haki Serikali watiwe moyo sababu wanapitia Magumu mengi.
Kuteuliwa kwa ACP Theopista Mallya kitafanya Watendaji wengine wajue kumbe ukiwa mchapa kazi mzuri Serikali inaona. Tusiishie kuwapa vyeti siku ya Mei Mosi tu.
Naamini ACP Theopista Mallya hatatuangusha. Nenda kafanye kazi. Tujivunie kuteuliwa kwako.
Je, ni nani Askari Mwadilifu mwingine unadhani anafaa kuwa Mkuu wa Usalama Barabarani? Mpendekeze rais amuone.
Pia soma; Viva Tanzania, Viva Afande SACP Susan Kaganda, Rais Samia ni Msikivu