Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Nampendea kutokuwa na makuu. Kasuka twende kilioni kapendeza mama wa watu ,hana kujichubua wala nini
Wasomi wote wa kike wanakuwaga wako simple sana ktk kujipamba, hawanaga mambo ya make ups, hawana muda huo wa kupoteza kwenye kioo.
 
hili lakurudiarudia watu kila siku tunalipinga, Watanzania wako wengu mno mtaani huku wenye uwezo, ni wakati wa kujaribu wengine ili tujue uwezo wao.
Mdogo wake Rosemary mkuu wa Dom dada kashuka mdogo kapanda familia zenye bahati zao
 
Huyu mama ni PhD holder sidhani kama ana njaa.
Kwa mafao yanayokuwa kwenye siasa ktk nchi za Afrika,kama umewahi kuwa mbunge,au nafasi yoyote ya uteuzi,hata ukiwa ni prof. ukipigwa chini ,tayari wameshakutia njaa,kwani huwezi ukapata kipato kama kile tena, kwa njia rahisi sana!!ya bila presha!!!Ndio maana huwa wanapata tabu sana,hukumbuki kuna RC,fulani hivi alipopigwa chini tena ni PhD holder alilalamika kama machinga aliyechukuliwa vyombo vyake na mgambo?kuwa ataishije na kuna ndugu wanamtegea!!!
 
Kwanini asijiajiri jama wavyotuambia?
 
Tuna mtazamo hafifu sana kuzani Msomi yoyote anastahili kuwa Kiongozi wa Kisiasa, tumwache abakie kwenye Professional yake yeye hazuruli mitaani kama Machinga.
 
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
 
Back
Top Bottom