Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Sema mi namkubali sana huyu Mama maana anaishi maisha yake tofauti na wamama wengi na mawigi kama kina Jenista.........Mumewe pia Prof Mukangara kama mtu kasoma UDSM na kasoma course yake ya International Relations,anafundisha wanafunzi kufaulu na kumuelewa na si kukomoana
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Bado mshamba Sana Usukaji gani huo!
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Maisha ya kutegemea teuzi,aige mfano wa Ali Hapi
 
Nampendea kutokuwa na makuu. Kasuka twende kilioni kapendeza mama wa watu ,hana kujichubua wala nini
Hivi nywele zake huwa anazikata au hazikui. Tangu namwona kwenye runinga na kwenye sherehe yupo vile vile. Na mimi nampenda alivyo ingawa sijui kisiasa yukoje.
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
1668413328642.png
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Kwani lazimaawe mwanasiasa ndiyo aishi?
 
Kweli uchawi upo, unamuacha huyu benchi unamchukua Jenista Mhagama
 
Mbona huyu mama huko ccm ana cheo kikubwa tuu kama kada mwandamizi. Mwenyekiti bodi ya TBS. Mzee wake ni Profesa.

Kwa mfumo huu wa kuombena vyeo ndio maana nchi inashindwa kupiga hatua. Kila mtu aombewe cheo tena itakuwaje katika nchi yenye watu milioni 61.

Walimu wazuri wa vyuo vikuu wote wanakimbilia siasa huko vyuoni kutabaki walimu wa kawaida. Huyu aligombeaga ubunge kule alokishinda Kitila mkumbo akashindwa kwenye kura za maoni.
 
Back
Top Bottom