Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

hili lakurudiarudia watu kila siku tunalipinga, Watanzania wako wengu mno mtaani huku wenye uwezo, ni wakati wa kujaribu wengine ili tujue uwezo wao.
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Atawasamehe Wangapi?Kuna Watanzania Mil.61 lila mmoja Anastahili kutoa Mchango wake kwa Taifa yeye katoa INATOSHA
 
Mimi naona aingie kwenye system tu. Sababu ana Siasa safi, amesoma, ana heshima na adabu ana utu pia. Hawa watu wamekomaa kisiasa ndio wa kumsaidia rais Samia.
figganigga unaonekana una akili nzuri tuu sasa acha ujinga
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Halafu utasikia vijana mjiajiri wakati wao hata pesa ya mtaji walipata ila bado mnasema wametupwa wanatangatanga mtaani
 
Napenda style yake ya twende kilioni, inampendeza sana
 
Hii nchi bana.sasa na sisi ambao hatujulikani nani atatusamehe au ndio tule urefu wa kamba zetu.
 
Kwahiyo kutopewa ubalozi ni kuteseka mtaani? Kwahiyo Watz wenginewasio mabalozi nao wanateseka?
 
Kwahiyo kutopewa ubalozi ni kuteseka mtaani? Kwahiyo Watz wenginewasio mabalozi nao wanateseka?
Kwakuwa upo mtaani unataka kila mtu awe mtaani? Kila mtu ana chaguo lake. Natamani huyu Mama amsaidie Samia. Ni Msomi
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Inamaana hamna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya ajira za kisiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ramli chonganishi mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20221114-080405_Opera Mini.jpg
    Screenshot_20221114-080405_Opera Mini.jpg
    67 KB · Views: 8
Back
Top Bottom