Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 6,394
- 17,531
hili lakurudiarudia watu kila siku tunalipinga, Watanzania wako wengu mno mtaani huku wenye uwezo, ni wakati wa kujaribu wengine ili tujue uwezo wao.
Inawezekana si chawa wake bana.Kwahiyo mimi chawa wake? 🤣🤣🤣
Mbona hajakoseaHajali au ajali?.
Mnaharibu lugha yetu.
Ukirudia bandiko lake bila jazba utagundua wewe ndio umechemka na kama ni muungwana utamwomba radhiHajali au ajali?.
Mnaharibu lugha yetu.
Mimi pia nimemshangaa huyo mtanzania mwenzetuMbona hajakosea
Atawasamehe Wangapi?Kuna Watanzania Mil.61 lila mmoja Anastahili kutoa Mchango wake kwa Taifa yeye katoa INATOSHASalaam Wakuu,
Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.
Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.
Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.
Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Mama Fenella ana nguvu za mwili.Alime matoke.Akili za CCM hizi, mnategemea teuzi tuu weuzi wakubwa nyie, kuna mengi ya kufanya ya maana sana zaidi ya teuzi za kisiasa
figganigga unaonekana una akili nzuri tuu sasa acha ujingaMimi naona aingie kwenye system tu. Sababu ana Siasa safi, amesoma, ana heshima na adabu ana utu pia. Hawa watu wamekomaa kisiasa ndio wa kumsaidia rais Samia.
Halafu utasikia vijana mjiajiri wakati wao hata pesa ya mtaji walipata ila bado mnasema wametupwa wanatangatanga mtaaniSalaam Wakuu,
Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.
Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.
Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.
Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Anampigia debe 'mgolegole" wake.Kwa nini asiombe Jesca Msambatavangu awe waziri?Yoooo bhooojhooo!figganigga unaonekana una akili nzuri tuu sasa acha ujinga
Kwakuwa upo mtaani unataka kila mtu awe mtaani? Kila mtu ana chaguo lake. Natamani huyu Mama amsaidie Samia. Ni MsomiKwahiyo kutopewa ubalozi ni kuteseka mtaani? Kwahiyo Watz wenginewasio mabalozi nao wanateseka?
Inamaana hamna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya ajira za kisiasa?Salaam Wakuu,
Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.
Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.
Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.
Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854