Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

Rais Samia Msamehe Dr. Fenella Mukangara

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,707
Reaction score
59,228
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Dr. Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
images (7).jpeg
10431142_722001837841597_141354999616255278_o.jpg
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Huyu mama ni PhD holder sidhani kama ana njaa.
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Ndionabyoishia hivyo? Baada ya kutoka kidogo mnakuwa kama fisi wa wachawi wanavyranda Randa mitaani mchawi akitoweka? Sasa mnakufa kwa jambo gani kama hamuwezi kuwa financially secure baada ya kuondoka? Kwanini muumize watu kujipendekeza?
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Ugomvi wa kike hauishi leo wala kesho alisema jamaa moja
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Dada wa taifa sexism tena....km mlivyomwita wa wizara ya afya Enzo za jiwe.
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Sasa huu ndo uchawa sasa kama wa mji wa Giningi🤣
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Ameshajiajiri sio lazima teuzi
 
Wapo wanawake elfu tisini wenye uwezo kama wake afe na uchawa wake.
 
Mbona huyu yupo nje tangu 2015?. What special atakacholeta?
 
Salaam Wakuu,

Dada wa Taifa Fenera Mkangara kaifanyia Makubwa Tanzania, sio Vizuri kumuacha anahangaika Mtaani.

Ni Mwana CCM asiye yumba. Kama kamkosea Rais Samia naomuombea Msamaha. Bado anazo nguvu za kulitumikia taifa.

Mara ya Mwisho kumuona Majukwaani ni Uchaguzi wa 2015.

Kwanini katupwa? Sijasikia kama ana Makundi kiasi kwamba asiwe hata msaidizi wa Balozi.
View attachment 2415853View attachment 2415854
Hivi kuna watu wangapi mtaani ambao Wana sifa za kuajiriwa,halafu hawajawahi kuajiriwa?.
 
Back
Top Bottom