Rais Samia: Makamba kwenye nishati atakufelisha! Umeme unakatika mno!

sambulugu

JF-Expert Member
Jun 1, 2021
3,939
7,336
Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:

Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!

Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!

Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!

Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.

Asanteh
 
Hardman Makamba anazingua ukitaka kujua hilo uwe na project inahitaji sana umeme utaniambia Temeke tabu tupu! More than five times a day umeme unakatika! Hata sasa umeme baadhi ya maeneo huku temeke hamna! Ila mtu anangonjera za kutosha!
 
Hardman Makamba anazingua ukitaka kujua hilo uwe na project inahitaji sana umeme utaniambia Temeke tabu tupu! More than five times a day umeme unakatika! Hata sasa umeme baadhi ya maeneo huku temeke hamna! Ila mtu anangonjera za kutosha!

Hata ww ukiwa waziri wa hiyo wizara shida itakuwa pale pale,

Tuache malalamiko asubuh asubuh, uko Africa tena third world countries unapiga kelele umeme unakatika?
 
Hata ww ukiwa waziri wa hiyo wizara shida itakuwa pale pale,

Tuache malalamiko asubuh asubuh, uko Africa tena third world countries unapiga kelele umeme unakatika?
Kwamba hakuna positive solution kabisa? You're either a fool or too pessimistic. Usikute hao jamaa zako wanavuruga mambo intentionally.
 
Hakuna
Nambie ww possitive solutions ambayo in one yr inaweza kuwa active na umeme usikatike tena
Ukweli msiotaka kuusikia ni kwamba ama mmeshindwa kwa sababu ya uwezo mdogo (uzoefu na taaluma) ama mmewadharau Watanzania, hivyo mnawapandia mtakavyo. Your days are numbered!
 
Lete another oltenative
Acha kulialia na mikwara paka mingi

Lete njia mbadala, tusikie pumba zako
Unataka njia mbadala? Waambie jamaa zako ustaarabu, uzalendo na uadilifu hudai kuachia ngazi ukishindwa kazi. That's clearly poor performance!
 
Unataka njia mbadala? Waambie jamaa zako ustaarabu, uzalendo na uadilifu hudai kuachia ngazi ukishindwa kazi. That's clearly poor performance!

Vijana wa huamsho hamnaga hoja

Amka nenda katafute hela kijana, Achana na wivu wa kimaendeleo kabisa

Subiri mwaka Mbowe akiwa Rais maybe we ndio utakuwa waziri wa nishati


Uwe
 
Vijana wa huamsho hamnaga hoja

Amka nenda katafute hela kijana, Achana na wivu wa kimaendeleo kabisa

Subiri mwaka Mbowe akiwa Rais maybe we ndio utakuwa waziri wa nishati


Uwe
Sasa hapa mambo ya CHADEMA na mada yangu wapi na wapi?
 
Yule anawanunulia kabisa simu na mb.
Hali halisi kazi imemshinda.
Unajua tatizo ni pale unapokosoa utendaji wa baadhi ya wizara katina serkali ya Samia unaonekana huipendi serkali ya Samia, au wewe ni pro Magufuli nk! Yaani watanzania kusema kweli wengi bado wajinga sana! Wanapenda kudanganywa na kiambiwa maneno matamu!
Chukula mtu anaona kila mara umeme unakatika kwa vile kukatika kwa umeme hakumhusu wala kumwathiri katika kazi zake kwake haina maana!
 
Kama unapenda aendelee kuwa waziri sasa unaweza kumbadilisha vizara ila kwa wizara ya nishati kusema kweli ni changamoto kubwa:

Watu wanalia kila kukicha lakini wewe kuna uwezekano hupati taarifa sahihi,ila naomba ujue hali sio nzuri!

Gharama za maisha zimepanda watu wa ofisi ndogondogo kama za saloon na maduka ya vivywaji, kuchomelea, gereji n.k wanaumia sana na kukatika kwa umeme na hii hali inawafanya warudi nyuma!

Kibaya zaidi kumekuwa na ngonjera nyinyi na vizingizio visivyoisha kila kukicha matatizo!
Jana amepeleka waandishi wa habari kwenye bwawa na mwl Nyerere sasa kitu kizuri ila mtaani performance yake bado ni ndogo!

Mimi sina chuki na Makamba ila kwenye nishati kapwaya mbadilishie wizara!.

Asanteh
Rais alishawaambia umeme unakatika hadi Marekani..

Tatizo liko clear na Makamba alishasema inahitajika zaidi ya Til.3 plus ndani ya miaka 4 ijayo kubadili miundombinu yote ya Umeme iliyochoka kulingana na kwamba njia nyingi zinazidiwa so blackouts ni lazima.

Na mama keshaanza ku deal na hilo katoa Bil.500 kuanza kutatuta angalau shida Hiyo.. Mengine ni chuki binafsi zinakusumbua.

Mwisho unataka nani ateuliwe ambae akiiingia tuu umeme hautakatika? Tukuteue wewe kwa makubaliano ya kalamu ya wino mwekundu?

By the way sekta ya Nishati ni moja ya sekta inayokua kwa Kasi Nchini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220806-185052.png
    Screenshot_20220806-185052.png
    101 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220806-184815.png
    Screenshot_20220806-184815.png
    134.6 KB · Views: 3
Back
Top Bottom