SaaafiKweli tumefika huko?
Mshahara wake mbona unatosha sana tu
Halafu ni nguo je angebadilisha magari private yaani mara RR mara Bentley mara Lamborghini mara Porsche sijui tungesemaje
Besides, she is a woman
Wife ana nguo nikiweka nje utasema mzigo umeshuka leo hii kama Belo 3
Na utauza siku 2
Wew unamuonaga wapi kila saa utujuze na sie tukamuone, lakini Mimi mwenyew ni mwanamke nikishinda home nikifua nabadili nikilala mchana nikaoga nabadili Dera langu nikipika nikimaliza nabadili sembuse yeye raisi? Acha aenjoy life is too shortHuyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?
Hawajui mama akipendeza na nchi inapendezaWalipa kodi mwacheni mama apendeze.
Joseph Kabila alikuwa ndio rais mwenye nguo nyingi sana Afrika. Sasa mambo yamebadika kutoka kwa mafundi nguo wa Paris hadi Dubai
Kweli tumefika huko?
Mshahara wake mbona unatosha sana tu
Halafu ni nguo je angebadilisha magari private yaani mara RR mara Bentley mara Lamborghini mara Porsche sijui tungesemaje
Besides, she is a woman
Wife ana nguo nikiweka nje utasema mzigo umeshuka leo hii kama Belo 3
Na utauza siku 2
Watu wana wivu tuSaaafi
Rais analipwa mshahara, nguo ni matumizi binafsi..Huyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?
Atakuwa na wivu tu..Hivi jamaa yupo serious kbsa amemind uvaaji wa mama?
Wivu ni kitu kibaya sana..Wivu mwingine wa kike
Jamii forums: A home of great thinkers!Huyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine.
Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?