Hii nchi bana wanaochanjwa wengine wanaosikia uchungu wengine
Hii nchi bana wanaochanjwa wengine wanaosikia uchungu wengine
Yani na lile jicho la mama akikupasha utadhani anamkaranga ranga samaki au wagueza chapati kwenye kichomeo chakeUzinduzi utatumika kujibu mengi na pengine tutapashwa mpaka tupashike
Lazima waitangaze kwa nguvu,si tulikua tuna msimamo thabiti.BBC Dira ya Dunia wametangaza kwamba uzinduzi wa Chanjo za Corona nchini Tanzania utafanyika siku ya Jumatani ( 28/07/2021)
Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Samia
Mzungu kasema.Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima amesema Rais @SuluhuSamia siku ya Julai 28, 2021 katika Ikulu ya Dar es Salaam atazindua zoezi la kuchanja chanjo ya Corona aina ya Janssen, ambapo Rais Samia atachanjwa.
Chanzo : @wizara_afyatz
View attachment 1869420
Naamini it's gone with the owner ambaye you hated the most. Naamini nawe utaungana na mama kupata hii J&J Covax 😊😊😊😊Ile ya Madagascar uzinduzi lini?
Yaaani unavuta bangi za ufipa halafu unamtukana raisi na bado unaokota makopo mitaani??Rais mbumbavu toka tupate uhuru
Aende akakatwe Togo pesa huko
Kwa hiyo issue ya mwenyekiti wa Maisha wa saccos ndiyo imeisha hivyo?Ile ya Madagascar uzinduzi lini?
Waliokuwa wanamshauri JPM wakikutana na barua hii wanajifunza nini ?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Chanjo ya COVID19 Ikulu Dar, Saa tatu asubuhi Julai 28, 2021
Tanzania ilijiunga na Mpango wa COVAX Juni 15, 2021 na imepokea shehena ya Chanjo Julai 24, 2021...
Not really. Our biggest enemy is stupidity.Someday we will realize our biggest enemy was not democracy but globalism
Hahahaha!Rais mbumbumbu toka tupate uhuru
Aende akakatwe Togo pesa huko
😀 😀 😀 Panya tena?. Hizo shehena zinakwenda kuishia kwenye miili ya watanzania.Bila shaka panya wa majaribio wapo wa kutosha.......
Ni kweli kabisa, hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kujiunga na chama cha magaidi.Hahahaha!
Hizi siasa bhana!
Wanachadema mnapigania uhuru wa Demokrasia huku mnaipiga vita Demokrasia. Kauli za namna hiyo wakizitoa CCM kuzielekezea kwa Mbowe mnalalamika mpaka basi.
Tanzania hamna vyama vya upinzani, wanaruka ruka tu! Akitokea mpinzani wa ukweli tutaungana nae. Ila kwa sasa hamna kitu! Hamna kitu yaani.
Keshachukua pesa za mabeberu lazima afanyiwe majaribioRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Chanjo ya COVID19 Ikulu Dar, Saa tatu asubuhi Julai 28, 2021...
Nimejikuta nacheka kama mazuri vile mweeeAnayefuata awe anayejiita askofu, yule mcheza pono wa kawe, achanjwe kwa nguvu mpotoshaji yeye, sisi wengine hatuna shida tutachanjwa willingly