Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Wewe nawe Unajua mini kuhusu madawa na TibaImefanyiwa utafiti nchini na chombo gani cha nchi yetu ili tuamini kuwa ni salama?
Wewe nawe Unajua mini kuhusu madawa na TibaImefanyiwa utafiti nchini na chombo gani cha nchi yetu ili tuamini kuwa ni salama?
Eleza basi wewe unayejua madawa na tiba.Wewe nawe Unajua mini kuhusu madawa na Tiba
Asante kwa kutaarifu hiyo uzinduzi.Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima amesema Rais @SuluhuSamia siku ya Julai 28, 2021 katika Ikulu ya Dar es Salaam atazindua zoezi la kuchanja chanjo ya Corona aina ya Janssen, ambapo Rais Samia atachanjwa.
Chanzo : @wizara_afyatz
View attachment 1869420
Wamekoswa panya wa majaribio???
Anayefuata awe anayejiita askofu, yule mcheza pono wa kawe, achanjwe kwa nguvu mpotoshaji yeye, sisi wengine hatuna shida tutachanjwa willingly
Nitaaminije chanjo atakayochanjwa Samia ndio tutakayochanjwa sisi?
Ila NYT wanasema ukweli?!Mwongo ni wewe
Inaitwa Johnson & Johnson au Jansen. Kama ada, kwa hisani ya watu wa MarekaniChanjo gani atakayo chanjwa?
Hasira za nini wakati anaupiga mwingi?Rais mbumbavu toka tupate uhuru
Aende akakatwe Togo pesa huko
Anaboa sanaView attachment 1869433
Rais Samia Suluhu Hassan Julai 28, 2021 atazindua zoezi la utoaji chanjo, uzinduzi utakaofanyika Ikulu Dar es Salaam kwa yeye kuchanjwa. Baada ya hapo wizara ya afya itaendelea na usambazaji wa chanjo & kutoa utaratibu wa uchanjwaji wananchi katika vituo vilivyoandaliwa.
Kwanini Dodoma na isiwe DarKwanin dar sio Dodoma tena
Kigwangala tayari ameshachanjwa ,, nendeni mkamuulize kama sumaku inanasaAtuwakilishe achanjwe yeye kwa niaba yetu
Inaongeza nguvu za kiumeHakuna mtaaaramu aifafanue hiyo chanjo??
Mkuu, hivi hutambui kuwa kwa sasa kuna uhiari katka kupata hizo chanjo? Lakini amini nakwambia siku zinakuja haitakuwa tena hiari bali ni lazima kwa watu wote kupata chanjo.Hivi mna nini watanzania? Wewe kuna mtu amekushikia panga uchanje kwa nguvu? Kwanini isiachwe kwa anayetaka sawa na asiyetaka sawa?
Usipoteze muda na huyo..wengi ni watoto humu.Ila NYT wanasema ukweli?!