GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
johnthebaptist tafadhali mshauri huyu mama wawili akanyonyeshe watoto aachane na haya mambo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndio tunamkubali rais ila ww umezid kumsifia mpk unakera Wana chadema 🤣🤣🤣
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Stupidity, kisa nini kujitoa akili namna hii?
 
Sema muuaji wako mpendwa. Huna mamlaka la kuwasemea wanadamu wengine wala kuwajumuisha kwenye hilo kapu lenu ninyi watekaji na wauaji.
Upo? Nikajua ulishakufa kwa msongo wa Mawazo?
 
Sema muuaji wako mpendwa. Huna mamlaka la kuwasemea wanadamu wengine wala kuwajumuisha kwenye hilo kapu lenu ninyi watekaji na wauaji.
Upo? Nikajua ulishakufa kwa msongo wa Mawazo?
 
Nyie ndio mnafanya mpaka watu wanakosa uvumilivu wanawatukana wewe na mama yako unayempigia debe kila siku.Wewe ni wa kwetu utabaki na sisi hakuna nafasi ya uteuzi utalamba.Tuko wote sana tu ndugu yangu hakuna mahali unaenda 🤣🤣🤣
 
Mbona mimi sijasikia hilo tetemeko au walau hata kimbunga huku nilipo.

Au lilikuwa tetemeko la uchawa ?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu ni wa Mbozi, Lukas Mwashambwa,Dunia Hata haijui!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nilisimika yai kwenye sahani ili ikitetemeka lianguke, bado masaa matatu siku iishe. Kila nikiliangalia liko wima. Silali mpaka nione.
 
Back
Top Bottom