GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

GE2025 Rais Samia kuitetemesha Dunia Kesho

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mjinga Mkubwa weeee na KILAZA Mzoefu, Mwisho kabisa na Si Kwa Umuhimu- Wewe Chawa Nuksi na Chawa Pro max
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Polepole kishamwaga sumu. Kumbe mtadandao ulimuondoa mtangulizi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utatetemeshwa wewe chawa. Samia atetemeshwe dunia ipi....Hata Kizimkazi haitetemeki. Ujinga huo.
 
Ongezea " Chifu Hangaya"
..........................................................
Usisahau tabia za wabongo tafadhali
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umpe na.mbinu ya kuwakwepa wahuni,mhuni mmoja tayari kachukua uranium ambayo tulijua makosa yote hayatarudiwa,wewe xhoko hujui,nadhani wewe msng unatuabisha watu wa Mbeya hatujui kulia lia,huenda umepandikizwa lakini wewe ni wa kizmkazi.
Jitahidi na deni la taifa lipungue sababu huna jipya.
Deni la mchongo linasababisha hata Kafulila anadanganya watu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wana mtandao ni hatari, wamepenya kwingi Sana..
 
Wewe kaa kwa kulia na subiri siku ya kesho ifike. Wala usianze kupatwa na presha mapema


Yaani apatwe na pressure kwa kitendo cha uchukuaji wa fomu? Pressure watanzania wema walipatwa alipokuwa anawaua wanaomkosoa.

Mungu wetu tunakuomba, kwa mapenzi na hekima yako, utuondolee kwenye ardhi yetu huyu mtu muuaji na mdhulumaji wa haki na rasilimali za Watanganyika. Uovu wake usiendelee kuwatesa watu wako.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kesho Dunia inakwenda kusimama ,kesho ndio kesho ,kesho macho yote Ya Dunia yanakwenda kuelekezwa Mkoani Dodoma ,kesho ni kama ile Fainali ya kombe la Dunia kati ya Argentina ya Lionel Messi Pamoja na Ufaransa ya Klian Mbappe. Kesho Dunia inakwenda kutetemeshwa na Rais Samia.

Vyombo vyote vya Dunia vinakwenda kutekwa na Habari moja tu ,picha Moja tu ya Rais Samia Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.

Kesho ndio kesho ,kesho ndio siku ya furaha iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ,kiu ,shauku na hamu kubwa sana na mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. Kesho ni siku ambayo inakwenda kujiwekea historia yake ambayo itadumu kwa vizazi na vizazi hapa Nchini.

Dunia nzima inakwenda kutekwa na kutawaliwa na habari kuu moja kutoka kwa Jemedari wetu hodari Daktari wa kero za watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan. Msipange kukosa wala kuchelewa kukaa karibu na Tv zenu maana utajutia Maisha yako yote kukosa kuwa sehemu ya historia ya Taifa letu.View attachment 3436162View attachment 3436163

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua....
 
Back
Top Bottom