Rais Samia amesema tuwe na jamii yenye ujasiri wa kuhoji

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,270
9,716
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Hivi macha & Makonda bado hamjaona juhudi za kijana wenu cde Mwashambwa hii haikubaliki mfikishieni Mwenyekiti ampumzishe hata Kwa UDC huko kyela.
Mleta mada mfano wa vijana wa kuhoji Kwa ujasiri ungeanzia ndani ya chama Kwa fitna za kugombea tonge recall x-ps na saga nyingi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Shetani wewe na mama yako matapeli watupu. Mungu chukua hili lishetani haraka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Nyie wawili huwa mnanifurahisha sana 😁😁😁

Screenshot_20231208_025239_Chrome.jpg


Screenshot_20231209_175731_Chrome.jpg
 
Watu wengi wamehoji kuhusu mkataba wa bandari wameishia kukamatwa kamatwa tu hovyo, mfano Mwabukusi, Mdude, Slaa nk nk
Akina Mwabukusi na yule mvuta bangi Mdude Nyagali hawakukamatwa kwa sababu ya kuhoji mkataba bali walikamatwa kwa maneno yao ya uchochezi na yenye kuhatarisha usalama Taifa letu.kwa sababu walikuwa wanatumia maneno yenye kupandikiza na kuhamasisha chuki na ubaguzi.
 
Hivi macha & Makonda bado hamjaona juhudi za kijana wenu cde Mwashambwa hii haikubaliki mfikishieni Mwenyekiti ampumzishe hata Kwa UDC huko kyela.
Mleta mada mfano wa vijana wa kuhoji Kwa ujasiri ungeanzia ndani ya chama Kwa fitna za kugombea tonge recall x-ps na saga nyingi.
Wanatakiwa wamuangalie
Wakina steve wanachkua hela kiulaini
Na hakuna kazi yyt wanayofanya
Lucas Ana stahili chochote kitu kwa kweli

Ova
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hayo ni maneno ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini Mama Samia Suluhu Hasssan katika maazimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara.

Ambapo amesema kuwa tunapaswa kuwa na jamii yenye ujasiri wa kuhoji.

Naungana na kumuunga mkono mh Rais katika hili hasa kwa vijana. Kauli hii ni kama ile ambayo imewahi kutolewa na Hayati Baba wa Taifa ambaye yeye alisema tunapaswa kuwa na vijana jeuri wenye ujasiri wa kuhoji na kuwahoji viongozi wao.

Rais Samia Ndio maana amefanikiwa kuongoza Taifa likiwa limetamalaki kwa amani na utulivu ,kwa kuwa ametoa nafasi ya watu kuhoji masuala mbalimbali yanayoendelea nchini au kufanyika au kufanywa na serikali yake na kuwapatia majibu stahiki.kwa hiyo watu wanakuwa hawana dukuduku wala vinyongo katika mioyo na vifua vyao ,kwa kuwa mambo yanayoleta maswali kwao yanapatiwa majibu kwa wakati sahihi na hivyo kuwafanya watu kuwa na taarifa na uelewa au ufahamu wa kila kitu hapa nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Yale ya kupotea kwa kuhoji yamesha dhibitiwa🤔.Ama hivi sasa ni kutojibiwa na kuelekezwa kwa wazee wetu🤔
 
Tulianza na bandari akawa mbogo-maji na kesi mahakamani.Tuwakilishe.Tumezoea siasa za uwakilishi wa machawa.
Kwenye suala la Bandari mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania na nyota ya matumaini mh mama Samia na Serikali yake walitoa uhuru wa kutosha kwa watu, taasisi,vyama na wadau mbalimbali kutoa maoni yao na mwisho serikali yetu ilifanyia kazi maoni na mawazo yote muhimu na kuja na mkataba bora kabisa kuwahi kushuhudiwa katika Taifa letu.ambao utachochea ufanisi wa bandari yetu hasa katika masuala ya mizigo pale bandarini ,ambapo sasa haitakuwa inakaa sana kama awali ambapo ilikuwa inaongeza gharama kwa wenye mizigo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom