Rais Samia, kataa ombi la Jenerali Venance Mabeyo kustaafu

Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Ameishaandaliwa Mzanzibari w kuchukua mikoba yake
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Mabeyo jamaa ana akili, mnyenyekevu na hofu ya Mungu, nilimuona kipindi flani alialikwa kwenye mahafali chuo kikuu flani huku kusini.
Yes, naunga mkono hoja.!
 
Who the hell are you to talk nonsense kwa mkuu wa majeshi wa nchi hii.
Umepaniki yawezekana jamaa alishindwa kupasua tofali Kwa kichwa,!? Badala yake akapasuka yeye kichwa!? Ikabidi CDf amkimbilie kumpa huduma ya Kwanza!? Au aliungua na moto alijaribu kuonyesha ukomando!? Au alivamia gwaride!?
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Asistaafu Ili iweje?kwani hakuna wengine wakushika hiyo nafasi?
Hapa tusubili kuwekewa mzenj tu,IGP Zenj,Takukuru Zenj,CDF Zenj,hapo mama atakuwa ameupiga mwingi hatari.
 
Kikwete atamshauri amuache astaafu halafu achague CDF muislam kutoka Zanzibar!! Hapo ndipo atakapoingia choo cha wanaume! Time will tell. SUMU HAIJARIBIWI MARA MBILI!
Hakuna wanawake wenye sifa/vigezo vya kustahili nafasi hiyo?
 
Mleta mada hujamsikia hata Paul makonda amesema watu wote walikuwa chini ya teuzi za magufuli wanakuwa phased out. Na huyo mzee wamemuheshimu sababu ya sekta anayotoka ya ulinzi lakini kwa system ya mama watu wote wa magu anawatoa.
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
We acha Mabeyo aende zake sasa ni zamu ya generali Abdillah. Sukuma gang wakati wenu umepita.
 
Nasikia wana-usalama hawastaafu bali wanapumzika, hvy pakitokea jambo hua wanaruka nalo chap kama vile wapo kazini.
 
Kustafu ni muhimu ili kupisha damu changa , kama umri wa kustafu umefika kisheria kwa Nini asistafu, wewe ni nani upinge kustafu kwake. Muhimu kupokezana vijiti na kutengeneza viongozi wapya , mleta uzi ni type ya watulikuo kuwa mnataka jiwe atawale milele hata baada ya mda wake kuisha.
Hata watu wengine wanataka kulamba asali
 
Jeshi sio ukasisi, lazima astafu kwamujibu wa sheria

USSR
Kama LiMagu lilikuwa rais likiwa na miaka zaidi ya 60, kuna ubaya gani Mabeyo akiwa CDF akiwa na miaka hiyo?

Tunataka mama atawale akiwa na ulinzi wa uhakika
 
Alipendwa Nyerere akastaaff sembuse Jenerali... Nyie WaTz wengine ni wa hovyo sana... Hii nchi kubwa sana haina uhaba wa watumishi bora... Hivyo hakuna mtu bora kuliko mwingine... Ukisema huyo na vipi kuhusu akina Mwamunyange...? Wamestaff wakiwa bora sana na watu wamewasahau kwasabab kuna bora zaid kilasiku wanazaliwa
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Wewe kweli kisanduku, Jeshi halina mtu muhimu, muhache astaafu kama kuongezewa kaongezewa kipindi cha Magufuli.
 
Wasingestaafu akina Musuguri, Mwamunyange, na wengine, Mabeyo ungemjuaje? Kustaafu ni wajibu.
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
 
Back
Top Bottom