Rais Samia, kataa ombi la Jenerali Venance Mabeyo kustaafu

Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Kiuweli ili uendelee kuheshimika na kuacha kumbukizi ya kutukuka, ni heri kustaafu wakati bado unapendwa kuliko kustaafu wakati watu wamekuchoka
 
Mabeyo ni 65, I think..Ni hekima pia kupisha wengine! Mtoa mada ana hisia kweli baada ya kuona Harambee ya Ujenzi wa Parokia ya Mt.Michael pale Kawe, Vp? Hukumuona Major Rev.Fr.Dr.Henry Rumisho (PhD). Remisho aliyebuni mchoro wa jengo?
Kwa Mabeyo ni hekima kustaafu kwa miaka 65 ila kwa Kinana kurudi kazini akiwa na miaka 80 ni sawa! Haki ya Mungu sihami Tanzania!!!!!!!!
 
Kikwete atamshauri amuache astaafu halafu achague CDF muislam kutoka Zanzibar!! Hapo ndipo atakapoingia choo cha wanaume! Time will tell. SUMU HAIJARIBIWI MARA MBILI!

Rais wa kwanza wa nchi Julius Nyerere mwaka 1974 alimteua Jenerali Abdallah Twalipo Muislamu na mngoni kuwa mkuu wa majeshi na muislamu Jenerali Abdallah Twalipo alishika nafasi hiyo ya Ukuu wa majeshi kwa muda wa miaka sita muda sawa sawa na aliopata kushika mkuu wa majeshi mstaafu mwingine anaeenda kwa jina la Jenerali George Waitara (mstaafu)
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Ni lazima astaafu wenyewe tunajua, na sio mbaya ni kanuni na sheria za jeshi, kama hathaminiwi pamoja na kufanya mazuri je?, hio ni nyongeza tu, ila muhimu mwamba apumzike, maana hizi kashfa za sasa ni aibu sana. Watz wapumbavu mnadiriki hadi kukosoa operation ya MKIRU ya Magaidi, mnataka kumwaga damu acha awachie mwage wenyewe na kikundi chenu halafu muone wapiganaji watakavo wapopoa Ikulu.
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Yaani Askari ashafikisha miaka zaidi ya 66 unataka aendeleee, Kwamba hakuna Kamanda mwingine anayeweza kuchukua usukani
 
Kikwete atamshauri amuache astaafu halafu achague CDF muislam kutoka Zanzibar!! Hapo ndipo atakapoingia choo cha wanaume! Time will tell. SUMU HAIJARIBIWI MARA MBILI!
Una amini hakuna Muislam wa kuliongoza JESHI??
 
Tufuate sheria kama umri umefika ni muhimu akastaafu.

Hii tabia ya kuongeza muda wa kustaafu huku vijana wakiozea mitaani ni ujinga na upumbavu.

Tanzania ni kubwa na wapo wajeda kibao ambao wana sifa na uwezo wa kuongoza JWTZ.

Naunga mkono hoja Mabeyo aendelee ni mtu salama kwa Taifa na Mh Raisi

Hao vijana waliopo mtaani wana weledi Mkuu ? Jeshi sio mgambo linaitaji mtu makini kuliongoza
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Hasistaafu au aongezewe mkataba kawa profesa wa sua, astafu kwa mujibu wa sheria, hawapishe na ndugu zetu,
 
Wazee wapumzike waingie vijana. Tatizo la ajira lililoikumba nchi ingefaa wazee kuanzia umri wa miaka 55 wapumzike wapishe wengine waingie.

Kama unampenda sana Mabeyo mshauri akachukue fomu aingie ulingoni na mama 2025. Hicho kitakua kipimo muhimu sana kama mtu wako unae mkubali anakubaliwa na watanzania kwa kiasi gani
 
Naunga mkono hoja Mabeyo aendelee ni mtu salama kwa Taifa na Mh Raisi

Hao vijana waliopo mtaani wana weledi Mkuu ? Jeshi sio mgambo linaitaji mtu makini kuliongoza
Kwahiyo huyo Mabeyo ndio yupo makinitu hamna wengine?

Wenzako walishasema atake asitake tutamuongezea. Aliyetaka kuongezewa na waliotaka kuongeza wote wakati uliwapiga kumbo. Wapi Ally Kesi,Ndugai nayule jamaa yao wa Kondoa waasisi wa atake asitake?
Wacha wakati utayaleta mabadiliko wenyewe
 
Nimeangalia video ambayo Mkuu wa majesho yetu, Jenerali Venance Mabeyo akiongoza harambee ya kuchangia fedha kwa ujenzi wa moja ya parokia ya Kanisa Kaoliki, nadhani ni ya Kawe kama sijakosea.

Katika misa na hafla ile Generali Mabeyo aliwaongoza vizuri sana wanajeshi wenzake wakachangia fedha nyingi sana. Wanajeshi wakajitoa, siyo kwa sababu bosi wao kasema bali kama wanaompenda.

Shughuli ile iliongozwa na mmoja wa maaskfou ambao sikumshika jina lake.

Kikubwa kwangu siyo shughuli yenyewe ya kikanisa bali ni hotuba aliyotoa Jenerali Mabeyo. Katika hotuba yake amesema hata yeye sasa hivi amekaribia kuitwa mstaafu yaani amebakiza miezi takribani minane.

Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba kufikia January 2023 Jenerali Venance Mabey atakuwa amestaafu na hivyo tutakuwa na Mkuu wa Majeshi mwingine.

Chondechonde Jenerali Mabeyo. Kama ulikuwa huju basi huku mitandaoni na mtaani kuna watu tulikupenda kuliko unavyojijua. Hatutaki kamwe kusikia hilo neno kustaafu. Unastaafu ili iweje. Bado una nguvu za kufanya kazi na kikubwa ni kwamba tunakupenda.

Tunajua uadilifu wako. Tunajua uchapakazi wako. Wewe ni mmoja wa wanajeshi wachache walio hai waliopigana vita ya kumuondoa Idi Amini pale Kagera na kumuondoa kabisa Uganda. Kuwepo kwako kama Mkuu wa Majeshi walau kunatukumbusha hilo.

Sasa unasema unaondoka, inawezekana umri umefikia. Lakini kwa kuwa tunakupenda na umeanza kusemasema unaondoka basi sisi tunaokupenda tunakuandika mitandaoni kwamba htatutaki uondoke.

Bado tunapenda uwepo. zipo tetesi kadhaa zinasema ulifanya kazi nzuri isiyosahaulika wakati Rais Magufuli anafariki na hadi Rais Samia kutangazwa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa unaondoka, kaa ukijua kwamba kazi ya mitandao siyo kuikosoa serikali tu bali hata kukosoa watu kamawewe mnaoondoka wakati tunawapenda.

Maadam umesema tunakujua kwamba ukishasema hurudi nyuma. Sasa tunachofanya ni kuandika hivi mitandaoni iliRais Samia akuongezee miaka mingine ikibidi mitano zaidi tuendelee kuona alama yako.

Siyo kwamba anakosekana mwanajeshi mwingine kuchukua nafasi yako, bali jua kwamba tupo tunaokupenda na hili si jamba la ajabu. Majaji wengi wakifikia umri miaka 65 hasa Mahakama ya Rufani wanastaafu lakini Rais anawaongezea muda.

Tumeona wengi wastaafu wanapewa uongoziwa bodi kadhaa. Hapana wewe hatukutaki kwenye bodi, tunakutaka bado uendelee kuwa CDF wetu.

Andiko langu hili linawakilisha mimi na yeyote anayekupenda. Hata Nyerere alipoangaza kustaafu mwaka 1980 watu wakamkatalia ikabidi aende hadi mwak 1985.

Hata mtangulizi wako Jenerali Davis Mwamunyange alipofikisha miaka fulani akataka kustaafu Rais Magufuli akakataa akasema asubiri na hadi ukapita mwaka mmoja.

Ombi kwa Rais Samia, kata katakata kustaafu kwa Jenerali Venance Mabeyo mwaka huu. Mwache aendelee kuwa Mkuu wa Majeshi ikibidi hadi baada ya 2025.

Wenu Mwanajamii
Mabeyo ni Mkuu wa Majeshi asiyekubalika na Askari wake kuliko Mkuu yeyote aliyemtangulia baada ya 1964. Huo unafiki unaouona si utii kwake Bali unafiki wà kijeshi.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom