Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,738
- 11,644
Kwenye mahafali huwa familia haishiriki? Ukizingatia ndege ni mfanano wa gari inayotumiwa na walalahoi wakiwa na shughuli yao, na hawaachi kuwajumuisha wanafamilia, kwa nafasi yake anastahili.Kweli Magufuli aenziwe Daima, "Nchi hii ilichezewa sana" in Magufuli's mara gafla imeanza kuchezewa.
Sasa mama Samia kusafiri na Mawaziri Buku, Waandishi Buku, Wanasiasa buku, wachekeshaji jero na wasanii jero haijatosha kumbe kasafiri hadi na watoto wake. Yani mpaka familia yake inaenda kwenye ziara.
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema asingekuwa Rais wa Tanzania kama si juhudi za wazazi wake pamoja na uvumilivu wa familia yake, ambao walikuwa tayari kumuunga mkono kwenye kila hatua aliyokuwa anapiga.
Rais Samia pia ameishukuru familia yake, akiwemo mwanaye Abdul ambapo ameeleza kwamba wakati mwingine alikuwa akiwaasha wanaye kwa muda mrefu ili kufukuzia ndoto zake za kielimu na kisiasa.
Ameyasema hayo nchini India na kumsimamisha mwanaye Abdul ambaye alipigiwa makofi mengi katika ukumbi wa mikutano.
Chenye kunitia shaka ni hiyo shahada, kama kweli anaistahili!
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app

Turudishie Magufuli wetu please, hii nchi inarudi pale pale uozoni


na bado mpaka mseme
CHAWA....