Wajibu gani??Mama Abdu yupo kutimiza wajibu wake
Sasa huo ukaribu ni kwenye kazi sasa??USisahau ni mama na ana haki ya kuwa karibu na familia yake
Kuna haja ya kupimwa Afya ya akiliBora kusafiri na lundo la watu kuliko jizi la 1.5t mshindo mmoja tu.
acha ubaguzi wewe....Kweli Magufuli aenziwe Daima, "Nchi hii ilichezewa sana" in Magufuli's mara gafla imeanza kuchezewa.
Sasa mama Samia kusafiri na Mawaziri Buku, Waandishi Buku, Wanasiasa buku, wachekeshaji jero na wasanii jero haijatosha kumbe kasafiri hadi na watoto wake. Yani mpaka familia yake inaenda kwenye ziara.
=====
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema asingekuwa Rais wa Tanzania kama si juhudi za wazazi wake pamoja na uvumilivu wa familia yake, ambao walikuwa tayari kumuunga mkono kwenye kila hatua aliyokuwa anapiga.
Rais Samia pia ameishukuru familia yake, akiwemo mwanaye Abdul ambapo ameeleza kwamba wakati mwingine alikuwa akiwaasha wanaye kwa muda mrefu ili kufukuzia ndoto zake za kielimu na kisiasa.
Ameyasema hayo nchini India na kumsimamisha mwanaye Abdul ambaye alipigiwa makofi mengi katika ukumbi wa mikutano.
Jiwe alikuwa ni shatani kweli. Ila huyu mama ni naye ni jini. Huo mkilemba anaojifunika ni boya tu. Hana habari na dini hata kidogo. Ukiambiwa mambo machafu anayofanya utashangaa.Jjiwwe alikuwa sshetan
Mbwa ni mama Yako mwenye laana kazaa laana tupu kama wewe.Mbwa kama nyie huwa hamkosi kila uzi
Panapo uhai ndio hadi 2035Yani hapa tumepigwa vilivyo aisee
Naona enzi hizo wanaokejeri walikuwa hawajazaliwa.1Mbona Obama alikuwa anasafiri na mabinti zake [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Punguza mapovu mzee ... jifunze kujibu hoja kwa hoja ..... juzi nlikuwa na angalia tarifa ya habari wanachi hko sumbawanga ndani ndani tangu uhuru hawajui pata maji safi na salama .... Leo tuna ambiwa viongozi wna safiri mpaka na familia zao kwwnye ziara za kikazi ....matumizi mabaya ya fedha za watu masikini wavuja jasho mpaka na wasanii uchwara wamo kwwny msafara .... huoni kama huyu mama hatufai hata kwa kulumangia tu .....Ulitaka asafiri na Watoto wako?
[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji106][emoji106]Ulitaka asafiri na Watoto wako?