Rais Samia: Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa watumishi

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa Watumishi, akifafanua "Hii ni kutokana na kiwango cha ukuaji wa Uchumi"

Amesema hayo leo akiwa Moshi Mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya KCMC

Ameongeza, "Tunapopiga mahesabu ya Uchumi kuna kitu kinaitwa Wage Bill. Kila tunapopata upenyo, Uchumi ukikua kidogo tunafanya Ajira haraka haraka hasa hizi zinazogusa maisha ya wananchi"

Vilevile, Rais Samia amesema Serikali imeendelea kuiwezesha Hospitali ya KCMC kuboresha miundombinu yake ikiwa ni pamoja na kuwezesha kuwekwa mtambo wa kuzalisha hewa tiba

Ameeleza, "Mtambo huu una uwezo wa kuzalisha mitungi 400 kwa saa 24. Uwepo wa Mtambo huo wenye thamani ya Milioni 800 umesaidia kupunguza uhaba wa hewa tiba hiyo katika Mikoa ya Kaskazini hususan kipindi cha mapambano dhidi ya COVID19"

2AC48477-12E9-4475-A6AF-67A34DFF9B7D.jpeg


82E13B2A-183B-441A-99C6-6049C7864DAB.jpeg
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa Watumishi, akifafanua "Hii ni kutokana na kiwango cha ukuaji wa Uchumi"

Amesema hayo leo akiwa Moshi Mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya KCMC

Ameongeza, "Tunapopiga mahesabu ya Uchumi kuna kitu kinaitwa Wage Bill. Kila tunapopata upenyo, Uchumi ukikua kidogo tunafanya Ajira haraka haraka hasa hizi zinazogusa maisha ya wananchi"

Vilevile, Rais Samia amesema Serikali imeendelea kuiwezesha Hospitali ya KCMC kuboresha miundombinu yake ikiwa ni pamoja na kuwezesha kuwekwa mtambo wa kuzalisha hewa tiba

Ameeleza, "Mtambo huu una uwezo wa kuzalisha mitungi 400 kwa saa 24. Uwepo wa Mtambo huo wenye thamani ya Milioni 800 umesaidia kupunguza uhaba wa hewa tiba hiyo katika Mikoa ya Kaskazini hususan kipindi cha mapambano dhidi ya COVID19"
TZ TZ TZ......Nchi yangu, miaka 60 sasa tuko Uhuru....bado kuna tatizo la watumishi wa afya? Sasa huwa tunafanya nini jamani?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa Watumishi, akifafanua "Hii ni kutokana na kiwango cha ukuaji wa Uchumi"

Amesema hayo leo akiwa Moshi Mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya KCMC

Ameongeza, "Tunapopiga mahesabu ya Uchumi kuna kitu kinaitwa Wage Bill. Kila tunapopata upenyo, Uchumi ukikua kidogo tunafanya Ajira haraka haraka hasa hizi zinazogusa maisha ya wananchi"

Vilevile, Rais Samia amesema Serikali imeendelea kuiwezesha Hospitali ya KCMC kuboresha miundombinu yake ikiwa ni pamoja na kuwezesha kuwekwa mtambo wa kuzalisha hewa tiba

Ameeleza, "Mtambo huu una uwezo wa kuzalisha mitungi 400 kwa saa 24. Uwepo wa Mtambo huo wenye thamani ya Milioni 800 umesaidia kupunguza uhaba wa hewa tiba hiyo katika Mikoa ya Kaskazini hususan kipindi cha mapambano dhidi ya COVID19"

View attachment 1976486

View attachment 1976487
SaFi sana mh rais Samia suluhu Hassan rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania unaupiga mwingi tuna Imani nawe
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Hospitali zote zinakabiliwa na uhaba wa Watumishi, akifafanua "Hii ni kutokana na kiwango cha ukuaji wa Uchumi"

Amesema hayo leo akiwa Moshi Mkoani Kilimanjaro katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 50 ya Hospitali ya KCMC

Ameongeza, "Tunapopiga mahesabu ya Uchumi kuna kitu kinaitwa Wage Bill. Kila tunapopata upenyo, Uchumi ukikua kidogo tunafanya Ajira haraka haraka hasa hizi zinazogusa maisha ya wananchi"

Vilevile, Rais Samia amesema Serikali imeendelea kuiwezesha Hospitali ya KCMC kuboresha miundombinu yake ikiwa ni pamoja na kuwezesha kuwekwa mtambo wa kuzalisha hewa tiba

Ameeleza, "Mtambo huu una uwezo wa kuzalisha mitungi 400 kwa saa 24. Uwepo wa Mtambo huo wenye thamani ya Milioni 800 umesaidia kupunguza uhaba wa hewa tiba hiyo katika Mikoa ya Kaskazini hususan kipindi cha mapambano dhidi ya COVID19"

View attachment 1976486

View attachment 1976487
Mwaka ujao wa fedha maelfu ya watumishi kwenye sekta ya Afya na elimu wataajiruwa.

Kama tuu saizi katangaza ajira za mainjinia zaidi ya 200 ,next year utafurahia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom