Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Reowned

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2024
Posts
393
Reaction score
1,061
1. January Makamba
2. Nape Moses Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Babu Tale
5. Bashiru Ally Kakurwa
6.Stergomena Tax
7. Liberata Mulamula
8. Stella Manyanya
9. Ole Sendeka
10. Job Ndugai.
11. Vita Kawawa
12. Charles Kimei
13. Anjela Kairuki
14.Paulina gekulu
15.Zungu
Note: Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
 
1.January makamba
2.Nape moses nauye
3.Ummy mwalimu
4.Babu tale
5.Bashiru Ally kakurwa
6.Sigomena tax
7.Liberata mulamula
8.Stella manyanya
9.Ole sendeka
10.Job ndugai.

Note;Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Toa sababu Mkuu..

Ila muongeze na FA.
 
1.January makamba
2.Nape moses nauye
3.Ummy mwalimu
4.Babu tale
5.Bashiru Ally kakurwa
6.Sigomena tax
7.Liberata mulamula
8.Stella manyanya
9.Ole sendeka
10.Job ndugai.

Note;Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Weka nyama.
Unategema unamshauri rais kwa namna nyepesi hivi
 
1.January makamba
2.Nape moses nauye
3.Ummy mwalimu
4.Babu tale
5.Bashiru Ally kakurwa
6.Sigomena tax
7.Liberata mulamula
8.Stella manyanya
9.Ole sendeka
10.Job ndugai.

Note;Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
yeye mwenyewe atarudi?
 
1.January makamba
2.Nape moses nauye
3.Ummy mwalimu
4.Babu tale
5.Bashiru Ally kakurwa
6.Sigomena tax
7.Liberata mulamula
8.Stella manyanya
9.Ole sendeka
10.Job ndugai.

Note;Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Afyeke bila sababu!? Yaani kisa wews huwataki basi wafyekwe!? Tupe sababu.
 
1.January makamba
2.Nape moses nauye
3.Ummy mwalimu
4.Babu tale
5.Bashiru Ally kakurwa
6.Sigomena tax
7.Liberata mulamula
8.Stella manyanya
9.Ole sendeka
10.Job ndugai.

Note;Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Babutale aondolewe mapema sana ikiwezekana.
 
Wewe kama nani sasa?! 😀

Wote hao watu wazima, wasomi tena wana akili timamu. Wanajua kilichowaweka pale. Wakijisahau shauri zao wenyewe, watajutia mbeleni Uongozi ni dhima... Lakini pia "Riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi na usiipelekee fitina".....

Wacha serikali yenyewe ifanye kazi yake.
 
Kama kweli mh rais anamamlaka ya kuamua nani arudi au asirudi bungeni despite kura za watu, basi na anichague kapuku Mimi kupata position yoyote serikalini. Hapo nitaamini
 
Back
Top Bottom