acachube
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 382
- 538
Msomi zaidi ni Dr.TaleTaleWewe kama nani sasa?! 😀
Wote hao watu wazima, wasomi tena wana akili timamu. Wanajua kilichowaweka pale. Wakijisahau shauri zao wenyewe, watajutia mbeleni Uongozi ni dhima... Lakini pia "Riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi na usiipelekee fitina".....
Wacha serikali yenyewe ifanye kazi yake.