Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Wewe kama nani sasa?! 😀

Wote hao watu wazima, wasomi tena wana akili timamu. Wanajua kilichowaweka pale. Wakijisahau shauri zao wenyewe, watajutia mbeleni Uongozi ni dhima... Lakini pia "Riziki ya mwenzio usiilalie mlango wazi na usiipelekee fitina".....

Wacha serikali yenyewe ifanye kazi yake.
Msomi zaidi ni Dr.TaleTale
 
Na huyu naye ni mzigo hatakiwi kurudi
 

Attachments

  • Screenshot_20250321_085630_Chrome.jpg
    Screenshot_20250321_085630_Chrome.jpg
    225.2 KB · Views: 8
Back
Top Bottom