Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Rais Samia hakikisha hawa watu hawarudi bungeni

Kama kweli mh rais anamamlaka ya kuamua nani arudi au asirudi bungeni despite kura za watu, basi na anichague kapuku Mimi kupata position yoyote serikalini. Hapo nitaamini
Tukiachilia ukapuku! Je unauwezo wakutoa na kusimamia hoja!? Au unataka ukapige meza tu.....
 
Asilimia 70 ya wabunge hawafanyi Kazi kwa ufasaha

Mfano
1. Utamuachaje Bungeni Mwijage
2. Masauni
3. Kitila
4. Gwajima mkono baunsa
5. Rweikiza
6. Kyombo?
Mwijage jimboni kwake kuko vizuri, Kiombo kule Nkenge sio kubaya vile Tatizo kwa Rwekiza Bukoba Vijijini tofauti nakufunga maTV makubwa kila kata hakuna kingine.
 
Stellya Manyanya aka Kagauni anapiga kazi sana huko kwao nyasa,mwondoe kwenye hiyo list
 
  1. Sababu kuu kwanini Nape moses nauye na january makamba hawafai kurudi mjengoni;Wote hawa wawili ni wanafiki,wapigaji,wanaongoza magenge ya chawa,wanauwezo mdogo kiutendaji expecially January makamba.

    Hii Expecially ulimaanisha nini​
 
1. January Makamba
2. Nape Moses Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Babu Tale
5. Bashiru Ally Kakurwa
6.Stergomena Tax
7. Liberata Mulamula
8. Stella Manyanya
9. Ole Sendeka
10. Job Ndugai.
11. Vita Kawawa
12. Charles Kimei
13. Anjela Kairuki
14.Paulina gekulu
15.Zungu
Note: Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Makosa yao nini? Unataka rais afanyie kazi matakwa ya chuki zako
 
Mnapoelekea mtamwondoa na spika sasa
Polepole kha
Uchaguzi ukiwa huru na haki spika tununu hatoboi kwa SUGU pale MBEYA nakwambia saa 12 jion vituo vinafungwa tuu SUGU anatangazwa sema nfo vile mwanangu mpeni mbeleko
 
1. January Makamba
2. Nape Moses Nnauye
3. Ummy Mwalimu
4. Babu Tale
5. Bashiru Ally Kakurwa
6.Stergomena Tax
7. Liberata Mulamula
8. Stella Manyanya
9. Ole Sendeka
10. Job Ndugai.
11. Vita Kawawa
12. Charles Kimei
13. Anjela Kairuki
14.Paulina gekulu
15.Zungu
Note: Dkt bashiru bado anafaa sana apewe cheo kingine.

Lakini hawa wengine majina yao yakija tu kwenye NEC feka.
Unampa kazi ngumu sana hiyo!
Lakini bado hata hujasema lolote kuhusu sababu husika.

Hawa hawa wanaweza kumwondoa yeye hapo alipo, unajuwa?
 
Back
Top Bottom