The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,114
- 115,942
Wamefundishwa kanisani Mzungu akifa anakuwa mtakatifu... mwafrika akifa anakuwa mzimuMna Imani ya ajabu sana yaani mtu akifa eti mnamuita mzimu. Hamjui haya kupay respect kwa wafu!!
Wamefundishwa kanisani Mzungu akifa anakuwa mtakatifu... mwafrika akifa anakuwa mzimuMna Imani ya ajabu sana yaani mtu akifa eti mnamuita mzimu. Hamjui haya kupay respect kwa wafu!!
AahaaaaaOkay, sasa hilo linazuia vipi maisha kuendelea?
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Wamefundishwa kanisani Mzungu akifa anakuwa mtakatifu... mwafrika akifa anakuwa mzimu