Matatizo gani yaliyotokea.nchi iko salama mkuuYanatokea matatizo badala ya kukatisha ziara ndio kwanza anakwenda kuonana na wanaotuhumiwa.
Kweli tumepata Rais.
Ni kweli kaenda, na watu hamsemi!Naona huko Hakuna kuvaa barakoa.
Na mikono wanashikana.
Huku tunaandaa matamasha ya kuhamasisha chanjo.
Mambo ni mengi!
Akitoka oman apite saudia kusalimia ndg na jamaa!
Umeacha ushoga ?Kenge kama huzi ndizo zipo Tanzania, nchi hii ina laana. Umezoea kujiuza unataka wote tuuzwe.