Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,010
- 5,449
Kama ametoa rais basi ni hela yetu walipa kodiRais katoa hela mfukoni au kwenye bajeti gani ?
Tunataka kuendesha mambo kitaasisi, sio kwa huruma huruma ya Rais.
Kama ametoa Samia basi ni ya mshahara wake au ile ya rushwa ya DPW
Sent using Jamii Forums mobile app