Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 963
- 2,350
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ndgu. Eric Hamisi. Nafasi yake inachukuliwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Ndgu. Plasduce Mkeli Mbossa.
PICHA: Plasduce Mbossa
PICHA: Plasduce Mbossa