mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,457
- 471
Meneji yote ni wanaume tu.
Meneji yote ni wanaume tu.
Basi wanipe mimi iyo nafasi waone uadilifu na weledi uliotukuka.Bandari alipashindwa jiwe na ubabe wake! Kuna namna panatakiwa kubadilishwa kwenye muundo wa majukumu ya utendaji pengine itasaidia!!
Leo ngoja niulize hiliSasa kumtumbua na kumuweka aliyekuwa kaimu wake ndio suluhisho la tatizo?
Bandari inatakiwa ifumuliwe kuanzia chini kabisa mpaka kileleni. Hii mambo ya kuondoa mtu mmoja mmoja huku kuacha mashina na mizizi ni ujinga tu.
Mh pale bandari sijui nani ata paweza labda wakabidhiwe Jeshi JWTZ
Hata ya Hamisi yalianza hivi hivi! Chonde chonde mwenye nayo aiweke hapaHongera sana Plasduce Mbossa kwa uteuzi, tunaomba mwenye CV ya Mbossa please
Hao watatumia miguvu tu hao. Akili hawana.Mh pale bandari sijui nani ata paweza labda wakabidhiwe Jeshi JWTZ
Ulaya bandari nyingi mno zimebinafsishwa hizo za kwetu sijui wanasubiria nini!Binafsisha hizi BANDARI, naona zinatupa shida kubwa kuziendesha au recruits freshers kutoka University, peleka wachache pale Durban, Capetown, Rotterdam, Botswana (dry port)wakajifunze kwa 24mth kuhusu uendeshaji wa hizi bandari, na ajira mpya zifanyike yaani we need to start upya
Walimuondoa yule wa waliyemkuta Kwa figisu wakamuweka huyu wa kwao..Bi Mubwa alisemaga yy sio SIMBA wa Yuda kama aliyepita, sasa imekuwaje.
Hii inchi kama hauna chembembe za ukatili kwa wahujumu uchumi lazima wa kuchezee.
Hela ni nyingi Sana So HAta kama ni ww Utaacha Kupiga Hizo Hela?Huwa nashindwa kuelewa BANDARINI kuna nini?! mbona huwa hakuishi MATATIZO?!
yaani kunaonekana kama kuna miungu watu/ uttachable!!!
Nashauri Jeshi lipewe Jukumu la kuendesha Bandari au waongeza nguvu hapo naamini kutakaa sawa, kama kuna wabishi tupa pembeni.
Huwa najisikia maumivu kila mara Rais analalamikia utendaji wa Bandari sio wa kuridhisha. kama kuna watendaji wanao fanya hujuma ya kukwaza juhudi za Rais wabainishwe na watolewe mara moja.
MarindaLeo ngoja niulize hili
Hivi mnaposema kufumuliwa mnamaanisha nn? Kuondoa watu wote au? Hebu nipe picha inavyokua
Meneji yote ni wanaume tu.
kaka hapo ndipo jiko la nchi lilipo - hata uweke mlokole lazima azimege, zinakuitaa zenyewe.Shida ni nyingi Sana So HAta kama ni ww Utaacha Kupiga Hizo Hela?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app