Kitu pekee nilichopendea utawala wa Magu ni kuwaondoa magaidi kama wewe jf na pili kupambana na magaidi wa MKIRU kwa ufanisi mkubwa.Wameandaa fitna kuwa akiwapiga chini eti anasimamia kwenye udini,yaani mama aache kupanga safu ya kufanya nayo kazi aogope kuitwa mdini?
Watu wa hovyo sana,mama apige chini tuh tusonge mbele,meko alitugawa sanaa
Naona mnaanza tena kuleta uharo wenu wa ugaidi humu ndani