Kilawo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 1,486
- 2,454
Thubutu Mbona jiwe litarudi.Lissu aombwe arejee nchini aendelee na maisha kama zamani.Alipwe pesa za matibabu,marupurupu na mishahara yake alizozulumiwa na Ndugai.
Alipwe fidia kwa usumbufu uliojitokeza.
Kesi ya kushambuliwa kwake ifutwe kwakuwa mhusika mkuu ameshatangulia kwenye hukumu,washirika wake wasamehewe bure.
Hapo Tundu Lissu atakuwa wa msaada sana eneo atakalo tumika.