Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,262
- 9,713
Ndugu zangu, wanasema uchumi mzuri ni ule unao gusa maisha ya watu wengi. Ukimfuatilia vizuri Mh. Rais wetu utagundua kuwa anajenga uchumi wenye kumgusa kila Mtanzania.
Kwanza Mh. Rais ametambua kuwa kilimo ndio sekta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti. Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu ni sharti ukipe kipaumbele kilimo.
Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo na hata utoaji wa ruzuku takribani billioni 150. Hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.
Mh. Rais wetu smedhamilia kuhakikisha kuwa, katika kujenga uchumi wetu hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika. Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge.
Ndio maana unaona miradi kama shule, vituo vya afya, zahanati, huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.
Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa bei unaoikumba dunia unapunguzwa kwa kuweka ruzuku kwenye mafuta ambayo ni injini ya uchumi wetu. Ndiyo maana unaona akitoa karibu billioni mia moja kila mwezi.
Rais Samia mama yetu Atakumbukwa sana akimaliza uongozi wake 2030, kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato cha chini. Kazi ya serikali ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo Mh. Rais wetu anaifanya vyema sana.
Mama hakika yupo kazini, tunamuhitaji mama aendelee kututumikia hadi 2030. Ndio tutajuwa tufanye nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na afya njema.
Kwanza Mh. Rais ametambua kuwa kilimo ndio sekta iliyo ajiri watanzania wengi wa makundi tofauti tofauti. Hivyo juhudi zozote za kuujenga uchumi wetu ni sharti ukipe kipaumbele kilimo.
Ndio maana unaona ongezeko la bajeti katika wizara ya kilimo na hata utoaji wa ruzuku takribani billioni 150. Hii inakwenda kuchochea uzalishaji, lakini pia kundi kubwa linakwenda kuguswa kupitia mipango hii ya Rais wetu mpendwa.
Mh. Rais wetu smedhamilia kuhakikisha kuwa, katika kujenga uchumi wetu hakuna mtu au kundi lolote linaloachwa nyuma au kusahaulika. Hali hii inajidhihilisha kwa namna anavyojenga miradi mbalimbali inayogusa maisha ya watu hasa wanyonge.
Ndio maana unaona miradi kama shule, vituo vya afya, zahanati, huduma za maji na umeme vikitamalaki kila Kona ya nchi hii.
Rais wetu pia anajitahidi kuhakikisha kuwa mfumuko wa bei unaoikumba dunia unapunguzwa kwa kuweka ruzuku kwenye mafuta ambayo ni injini ya uchumi wetu. Ndiyo maana unaona akitoa karibu billioni mia moja kila mwezi.
Rais Samia mama yetu Atakumbukwa sana akimaliza uongozi wake 2030, kwa kujenga uchumi unaogusa watanzania hasa wakipato cha chini. Kazi ya serikali ni kusaidia watu kunyanyuka kiuchumi, kazi ambayo Mh. Rais wetu anaifanya vyema sana.
Mama hakika yupo kazini, tunamuhitaji mama aendelee kututumikia hadi 2030. Ndio tutajuwa tufanye nini akitufikisha hapo, kikubwa tunaendelea kumuombea uzima na afya njema.