Rais Samia atajutia sana Humphrey Polepole kutekwa

Rais Samia atajutia sana Humphrey Polepole kutekwa

Samia, Polepole angekisaidia sana kuongea na wapinzani wako...

Polepole alitoa onyo na hatari ya kufanya Uchaguzi mpinzani wako wakiwa Jela.

Museveni ni dikteta mkongwe lakini hawajawahi kuchukua hiyo risk.
 
Back
Top Bottom