Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Ukweli mchungu
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
Kuna KITU kinanambia SAMIA IPO SIKU atahama chama ataenda wapi SIJUI ILA MWISHO WA SIKU atasapoti upinzani ILI kuwakomoa ccm hapohapo Kuna chama kitashinda ni kipi sijui
Hili Alisha liweka Wazi kwamba kilichompa hamasa ya siasa ni upinzani wa maalim seif
 
Ndio maana huwa kuna haja ya kubadili viongozi kila baada ya muda fulani, imagine huyu anataka tukae nae miaka 15 hata aibu hana jamani???!! hata kama ni uroho wa madaraka vitu vingine vinahitaji hata kuona aibu tu.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Na yeye njia moja tayari na CCM yake.
 
Vichwa maji hahahaha 😁😁😁😁!


Ye aparangane hukoooo abagein hukoooo asain mikataba fekero auze nchi sio shida zetu alimradi atuongezeee na kutupandisha bridges 😁😁😂!
Utatekwa halafu upo Kidimbwi mimi sipo🤣
 
Utatekwa halafu upo Kidimbwi mimi sipo🤣
🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️😁😁😁😁
 
Unaota wewe,mama yupo sana
Sio kazi ya raisi kuenda wilaya zote hata wazr wa elimu hajui shule zote samia yupo huwez kumshaur rais ujinga mshashindwa plan A BC sasa nao Mpo Z
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.

Kuwa makini sana sheikh, kama unatumika kisiasa ni heri ukaacha na ukafanya mambo yoko. ukiangalia asilimia kubwa ya wanaomchukia mama huyu ni wakristo, na asilimia chache ni waislamu ambao ni wafuata mkumbo tu. Wakati wa magufuli hatukuyaona haya, wakati wa mkapa hatukuyaona haya, ila akiingia tu Muislamu fyoko fyoko zinaanza

Pili, Uislamu haujatufundisha kuchukia mtu, awe Muislamu ama asie Muislamu wote tuwapende.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Hizo ni ndoto za mchana kila panaspo karibia uchanguzi vitisho kama hivyo kuchomozwa na kutia hofu, kama JPM haiweza bila wenye chama na haikufa, kama JK aliweza pamoja na muunganiko wa RC na dr Slaa walishindwa kwa Raisi hu ni kazi nyepesi kishinda huo uchanguzi either uwepo au usiwepo atashinda tu. Tanzania nzima hatuna vichwa "think tanks" kupindua CCM, mass uprising hiyo jambo lisio wenzekana kabisa......kwa ufupi mama tuko nae mpaka 2030,
 
Back
Top Bottom