Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Jeshi lake, serikali yake, pesa yake, kodi zake akishindwa pamoja na kua vyote hivyo basi ni hamnazo.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Yale maneno ya JK ya kwamba "hadi hali iwe mbaya sana" inafikirisha pia
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Anaeamua matokeo ya mechi ni refa.
 
Una maana
Sio kazi ya raisi kuenda wilaya zote hata wazr wa elimu hajui shule zote samia yupo huwez kumshaur rais ujinga mshashindwa plan A BC sasa nao Mpo Z
gani kusema hivi
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Siyo mabavu tu, nahisi hd hongo zilitembea kwa wapush agenda maana jambo la kitaifa haliwezi kuamriwa kwa namna ile. Mihemko ya hali juu ilitumika na si upembuzi yakinifu wa kusimika mtu wa kwenda kuliongoza taifa kwa miaka 5 ijayo.
 
Kuwa makini sana sheikh, kama unatumika kisiasa ni heri ukaacha na ukafanya mambo yoko. ukiangalia asilimia kubwa ya wanaomchukia mama huyu ni wakristo, na asilimia chache ni waislamu ambao ni wafuata mkumbo tu. Wakati wa magufuli hatukuyaona haya, wakati wa mkapa hatukuyaona haya, ila akiingia tu Muislamu fyoko fyoko zinaanza

Pili, Uislamu haujatufundisha kuchukia mtu, awe Muislamu ama asie Muislamu wote tuwapende.
Hahaa!! Unaingiza uislam na ukristu kwenye vtu serious, wakt wa kikwete nani alipiga kelele? Mwambieni akachukue fomu agombee hatutaki janja janja sisi na mstumie huruma ya dini kuficha uhalisia. Waislamu wenyewe pure hawaongozwi na mmama kama unabisha toa hata jina moja la kiongoz mkubwa aliwahi kutawala zenji hata kuwa makamu wa pili wa rais achilia mbali nchi za kiarabu.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Nasikia mara ya mwisho alionekana Nzega akinunua nyanya.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Sema humpendi. Mimi kama Mimi nampenda kuliko ujuavyo. So jisemee wewe na nafsi yako
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Chadema ndo imekufa ila CCM haiwezi kufa
 
Back
Top Bottom