Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Rais Samia asipokuwa makini CCM itamfia

Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Kwani wewe CHADEMA umepende au usimpende hiyo wala haimshtui. By the way ikimfia si ndio itakuwa powa kwa CHADOMO? Sasa shida iko wapi. Endeleeni kuota ndoto za mchana na kukosa dira kama chama mmebaki kudandia matukio tu.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Na Mimi silipendi jimama
 
Watanzania tunajidanganya saana, hakuna namna walioko jikoni wanaweza kupindua meza maana na wao wengi wao ni sehemu ya Gambino familia, wao na familia zao wanaishi na kuneemeka na mfumo.

Watanzania pekee siku wakiwa serious na reform ya mifumo ndio kitu pekee kinachoweza kuiokoa hii nchi, Watanzania wenyewe wakigundua dhulma wanazofanyiwa na kuamua kuingia barabarani ndio namna pekee ya kuleta mabadiriko.

safarini Homs na Damascus.
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.
Watakao kiuwa chama,walio kiuwa chama ni chawa na uchawa,kwenye maziko yake nipo tayari hata chuchimba kaburi peke yangu.
 
Watanzania tunajidanganya saana, hakuna namna walioko jikoni wanaweza kupindua meza maana na wao wengi wao ni sehemu ya Gambino familia, wao na familia zao wanaishi na kuneemeka na mfumo.

Watanzania pekee siku wakiwa serious na reform ya mifumo ndio kitu pekee kinachoweza kuiokoa hii nchi, Watanzania wenyewe wakigundua dhulma wanazofanyiwa na kuamua kuingia barabarani ndio namna pekee ya kuleta mabadiriko.

safarini Homs na Damascus.
MsalimieAl Sharaah
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.

Kaka niliandika kijinyuzi chang chenye haya maudhui just wakakidondosha kaka.

Nimefarijika kuona hiki chako hakijadondoshwa.

Elim ienezwe na sisi tu aoshabikia mbogamboga tupone
 
Chama cha Mapinduzi kinaenda kufa rasmi mikononi mwa Rais Samia.

Rais Samia hapendwi, simpendi, hatumpendi.

Ni aibu kuona chama tawala kilichodumu miaka na miaka kwenda kumfia mgombea ambaye hata wanachama wenzake ndani ya chama hawakubali uongozi wake ila kakikundi ka watu wachache wenye mamlaka wamepitisha kimabavu.

4 R zinauaje chama? Mpja ya ubunifu wa hali ya juu kupata kutokea
 
Back
Top Bottom