Rais Samia Apokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe, Ikulu Dar es Salaam

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.

F2sPWOvXkAAwovF.jpeg

F2sPWOvWYAAQbjO.jpeg

F2sOXooXoAEuPe1.jpeg


F2sO4x2W4AAXVgU.jpeg
 
Kuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
 
Kuna kitu najiona hakipo sawa kwenye uso wa Samia...uso wake umepoteza Nuru kabisa ni kama mtu mwenye msongo mkubwa wa mawazo...ama alie kata tamaa...masikini mama namuonea mpaka huruma sijui Nini kina msibu
Mlisema hayupo. Leo kaonekana mmeamia kwenye uso wakw hauko sawa🤣🤣

Kweli roho mbaya ni uchawi
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.

View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330

View attachment 2708331
dikiteita ataleta ujumbe gani wa maana
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amepokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa uliowasilishwa kwake na Waziri wa Ulinzi na Wapigania Uhuru kutoka Zimbabwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ZANU-PF Mhe. Oppah Chamu Zvipange Muchinguri Kashirim mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Agosti, 2023.

View attachment 2708328
View attachment 2708329
View attachment 2708330

View attachment 2708331
Basi sawa
 
Ameletewa ujumbe wa kuachana na kugawia Bandari kwa Waarabu?
Unaweza dhani ataambiwa Mkataba huu na Waarabu unatishia Usalama wa Nchi zilizo mstari mbele kupigania Uhuru wa Kiuchumi,manake DP W wakishtushwa tu kule na sanctions ndio kabisa, watabidi wayakubali tu maagizo kutoka kwa walezi wake wakuu, hilo linawaogopesha Wazimbabwe?
 
Ujumbe kutoka Zanu-PF kwenda ccm kuhusiana na mbinu mpya kutoka ccm za jinsi ya kuiba kura, elewa August hii kuna uchaguzi mkuu Zimbabwe
 
Back
Top Bottom