Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 3,584
- 7,471
madaraka yanaleweshaMwaka 2021 alianza vizuri ila kuanzia 2023 sijui nini kilimpata huyo mama yenu
madaraka yanaleweshaMwaka 2021 alianza vizuri ila kuanzia 2023 sijui nini kilimpata huyo mama yenu
Geti jeusi anaitwa madam KVHivi ni kweli anagonga mvinyo?
NDUGAI, GWAJIMA sasa ni MPINA.Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
Itabidi tumtafute Odo atuhakikishie kama ni KV!Geti jeusi anaitwa madam KV
Kwenye hao Mawadhiri; ngoja mimi Kaka yako nikusaidie kuwataja ili kama ni Ukoonger, twende wote!Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
Robert Heriel Mtibeli atakwambia wewe ni muoga, mface mheshimiwa au tumia jina lako kufikisha ujumbe wako au nadanganya mtibeli??
OKTOBA TUNA ✔️Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
Sifahamu ni kwanini raisi ana imani sana na machawa na hawa wa inner circle ambao mmojawapo amfanya alalamike kuhusu mapato wakati huyohuyo ndie angemsaidia kukusanya mapato makubwa.Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
The worst head of stateNa kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
Kifo cha magu kimetuletea kunguru mwoga....hajui lolote zaidi ya vimipasho......na kukopakopa......kisha tulipe sisi kupitia tozotozo....pesa zenyewe anazokopa nyingi zapelekwa zanzibar kulipa tulipe wa huku bara....tumekufaNa kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.
Mkuu mjini mnakula bata. Mngejua hali ilivyo huku vijijini msingemsifu huyu mama yenu.Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye AKIWAPENDA na kudhani WANAMSAIDIA hasa Kiufanisi na kwa Watanzania.
Hakuna BINADAMU anayefanikiwa au anayejua mapungufu yake iwe KIUTENDAJI au KIMAISHA kama ama hapendi au hakubali KUKOSOLEWA na kwa Sisi wenye IMANI na kidogo mambo ya SAIKOLOJIA tumeyapitia tunaamini kuwa ukiona UNAKOSOLEWA JUA UNAPENDWA na UNATAKIWA MEMA na ukiona kila mara tu UNASIFIWA HADI WATU KUKUFURU kwa Mwenyezi Mungu jua WANAKUSANIFU, HAWAKUPENDI, HAWAKUTAKII MEMA na kwamba ANGUKO LAKO wala HALIKO MBALI nawe.
Hata Mimi GENTAMYCINE ninaeandika hapa NAKUPENDA MNO kama siyo SANA na ndiyo maana unaona huwa NAKUKOSOA na pale nikiona umepatia NAKUSIFIA ila nasikitika kuwa nami pia umeniweka katika Kundi la Watu (Keyboard Warriors) unaowaona ni ADUI KWAKO MITANDAONI (hasa hapa JamiiForums)
Mheshimiwa Rais Samia kama kuna UTAJIRI MKUBWA ambao Mwanao Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nimepewa na Mwenyezi Mungu ni wa KUONA MBALI, KUSHAURI VYEMA na AKILI na sishangai ndiyo maana hata KIASILI nikawa ni "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" katika Maisha yangu.
Ushauri wangu mkubwa Kwako ni kwamba penda KUKOSOLEWA, JITATHMINI, SAMEHE WALIOKUKWAZA hasa KISIASA, SHIRIKIANA NA WALE ULIODANGANYWA NI MAADUI ZAKO kwa MASLAHI YA MAMA TANZANIA na KATAA KABISA kuwa chini ya MACHAWA ambao 24/7 WANAKUHARIBIA bila ya Wewe kujua.
Ukijirekebisha nina uhakika wa 100% unaweza kuja kuwa Rais bora kabisa Mwanamama kuwahi kutokea katika Bara la Afrika na pengine hata Duniani.
Naomba Mzanaki, Myao na Mtutsi Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE niishie hapa ila niseme tu kwa Jicho langu HATARI la NDEGE TAI naona kuna TATIZO KUBWA mahala kwa Tanzania yangu hivyo waite WASAIDIZI WAKO wakufafanulie vizuri japo nina wasiwasi kutokana na UCHAWA WAO na kutotaka kupoteza NAFASI ZAO ukikutana nao watakuambia Mama kila kitu kipo vizuri achana na huyo Mpuuzi GENTAMYCINE na hao 'Keyboard Warriors' wengine JamiiForums kwani wana WIVU na CHUKI nawe halafu ni WAPINZANI kutoka CHADEMA.
Uwe na Jumatano Njema Mh. Rais Samia.