ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,614
Kwa hiyo huko mtaani kwako huwa huyaoni haya ? Kama hutaki makaratasi Kuna picha hizi hapa za Wavuvi wakipewa Boti na Samia,au nazo ni Makaratasi? πππTabu mnaongelea makaratasi lakini ukija huku mtaani mambo hayako hivyo,mnandanganya Samia kwa takwimu za uongo,nenda kwenye duka lolote la pembejeo uliza bei ya mbolea aina ya Yurea inauzwa sh ngapi?kwanza kukupa hiyo bei wanakutizama usoni kwanza au utumie mtu wanayemfahamu la sivyo unaabiwa mbolea amna,mnadanganywa na Bashe na BBRM kumbe utapeli mtupu, Subiri mwakani uone njaa,Kama uzalishaji umeongezeka mbona bei ya mchele ahishuki?juzi hapa mmetoka kupokea mchele wa msaada kutoka America.Hizo takwimu danganya machawa wenziwe.
Habari za kupika, huna hoja unaokoteza tu stories.Huna hoja,na Mimi sio nyumbu kama wewe ukidhani utaniletea stori za Uzanzibar sijui uanamke,Mimi sio wa kusimuliwa Bali natafuta habari.
Na wewe kazichemshe na kuandika zako..Habari za kupika, huna hoja unaokoteza tu stories.
Sasa wewe ulitakaje? π€£π€£π€£π€£π€£Hauo yote uliyoorodhesha ni kazi na majukumu yake kama rais
Toa ufwala wako hapa, nenda na mamako mwenyewe.Na wewe kazichemshe na kuandika zako..
Naendelea kuokoteza kama ifuatavyo ππ
View: https://twitter.com/twendenamama/status/1788232607278268637?t=qzDMvKuYzRleQuvNW0oqBQ&s=19
Watanzania wote wanaenda na Mama ukiwemo.wewe na Hawa wazalishaji wa Kakao wa Kyela walioonja Raha za mama Yao ππToa ufwala wako hapa, nenda na mamako mwenyewe.
Wote wamefanya makubwa na Okello ni zaidi kwani ndiye chanzo cha muungano.Mada ni Samia sio John Okello.
Achana na habari za Muungano watu wnataja waone na kusikia specific vitu alivyofanya Samia kama mambo haya kwenye Madini ππWote wamefanya makubwa na Okello ni zaidi kwani ndiye chanzo cha muungano.
Kawapa wazanzibari wenzake,nenda ziwa Victoria au Tanganyika au Nyasa kama utayaona haya au onyesha picha za kutoka huko.Kwa hiyo huko mtaani kwako huwa huyaoni haya ? Kama hutaki makaratasi Kuna picha hizi hapa za Wavuvi wakipewa Boti na Samia,au nazo ni Makaratasi? πππView attachment 2984843View attachment 2984844
Nadhani Mtanganyika Magufuli ndiye aliyepingwa zaidi, pengine kuliko Marais wote ukimwondoa hayati Nyerere..Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
.... (b) kuzungumza kwa upole bila kukemea hadharaniJambo kubwa ambalo awamu hii limefanya vyema kuliko awamu zote ni kukopa tu. Yupo vizuri.
Zanzibar kuna Rais Sasa awape kama nani?Kawapa wazanzibari wenzake,nenda ziwa Victoria au Tanganyika au Nyasa kama utayaona haya au onyesha picha za kutoka huko.
Mnampiga Samia au mnaeneza Chuki binafsi?Nadhani Mtanganyika Magufuli ndiye aliyepingwa zaidi, pengine kuliko Marais wote ukimwondoa hayati Nyerere..
Kumpinga/ kumkosoa Rais nadhani ndiyo mchezo wenyewe wa siasa za vyama vingi. Sio uadui ila wajibu wa kila aliye kwenye siasa.
Na walio nje ya siasa wanapima kwa kadri hoja zinavyowekwa, hasa kwa huu mwaka wa uchaguzi muhimu sana wa Serikali za Mitaa.
Ova
Kauza Ngorongoro,KIA,Bandari,Misitu.........Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.
Kamuuzia nani na Kwa bei gani?Kauza Ngorongoro,KIA,Bandari,Misitu.........
Na JK naye aliyeitwa dhaifu, naye ni wa nchi gani?Mnampiga Samia au mnaeneza Chuki binafsi?
Pili yule mrundi sio Mtanganyika,Ile sio roho ya Watanganyika
Huyo ndio Mtanganyika mwenzenu.Kwa Samia mumekosa hoja mnaanza kumtambulisha Kwa njia ya ukabila na ubaguzi wa maeneo.Na JK naye aliyeitwa dhaifu, naye ni wa nchi gani?
Ova
Rubbish.Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo nchini ndio hoja kweli ya kuwaambia watanzania?
Hatujui hata mnakosimamia, mara maandamano, mkitoka huko mna hoja ya maisha magumu wakati Tundu Lissu ulimdai Rais Samia hela zako zote za ubunge na amekulipa, sasa hivi unakula raha tu mwenzetu maana maokoto uliyolipwa ya maana.
Tuachane na hoja hizo, ukweli ni kuwa huyo Rais ambaye analalamikiwa kuwa sio mtanganyika ndiye amefanya balaa kubwa la maendeleo hapa nchini.Hivi leo hakuna kijiji wala kata wala Tarafa wala wilaya ambazo hazina maboresho ya miradi ya elimu, kila shule ya kijiji ina miundombinu mizuri ya madarasa ukilinganisha na marais waliopita.
Rais Samia amejenga hospitali kubwa mpya za kisasa mikoani na wilayani, watoto wa Mbowe, shangazi zake, wajomba zake wanakwenda kutibiwa.
Zahanati kila kijiji zimejengwa kwa fedha za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.Tunamtaja yeye kwa sababu ndiye mwenye serikali.Fedha hizi hazitolewi na Mnyika, wala Heche wala Lissu, ni serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Miradi ya barabara sio ya kawaida, leo Lissu unaharibu barabara iliyojengwa kwa fedha za serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa maandamano, kazi ya ujenzi wa barabara ilianza wakati wa awamu ya Kikwete lakini kwa sasa Dkt.Samia ameifungua nchi, leo unaweza kutembea umbali wa kilomita 2000 na usikutane na barabara ya vumbi.
Miradi ya maji imeboreshwa sana, kazi ya kumtua mama ndoo kichwani inaendelea.Rais Samia hatumii nguvu kujibizana na watu, yeye anahangaika na maisha ya watanzania, period.
Kwa kazi hiyo anayoifanya Rais Samia ya kujenga miundombinu ya elimu, afya, barabara nk unadhani utazungumza hoja gani zaidi ya ubaguzi wa kifala.
Hao wananchi unaowahutubia kwa kuwaambia unadai Tanganyika yako wanakushangaa kwa sababu hakuna hata mmoja kati ya hao unaowahutubia wanaojua jina hila limetokea wapi? Watanzania wengi hatuikubali hio hoja ya kututenganisha, sana sana tunawaona wajinga na mmeishiwa hoja.
Rais Samia, endelea kupiga kazi mama yetu, kazi ya kujenga nchi sio mchezo, ina misukosuko mingi, ina mawimni mengi, sisi wengine tunaopenda amani ya nchi itawale tutaendelea kukuunga mkono mwanzo mwisho hadi kieleweke.Kazi iendelee.