I thought she had more exposure than late Magufuli, more organized and articulate in her speeches. But, I was wrong.

It's a shame for the President not to know what is and isn't politically correct to speak in public.

She has to apologize for her derogatory remarks concerning women footballers.
As a female athlete, I honestly say shame on her. Unfortunately being a leader you need emotional intelligence.
 
"Hana washauri wazuri"

Hii nchi sijui tuna balaa gani yani! Mama alianza vizuri, lakini kila uchao alama zinashuka tu.
 
26 August 2021
Nairobi, Kenya

Michuano ya CECAFA soka la wanawake, Timu zawasili ikiwemo Simba Queens FC ya Tanzania.

Michuano hiyo ya CECAFA kwa soka la wanawake itachezwa kuanzia August 28, 2021 jijini Nairobi Nyayo Stadium

Mshindi wa michuano hiyo ya CECAFA ataenda kushiriki mashindano ya klabu bingwa za soka la wanawake Africa 2021 TotalEnergies Women’s Champions League itakayofanyika baadaye nchini Egypt.



CECAFA Zonal Women’s Champions League Qualifiers set​

CECAFA

The CECAFA zonal Women’s Champions League qualifiers have finally been set to run August 28th to September 9th in Nairobi, Kenya.​

Auka Gacheo, the Executive Director of the Council of East and Central Africa Football Associations (CECAFA) told CAF this morning that a mini draw has been conducted and the eight teams are now divided in two groups.
Gacheo explained that after Rwanda’s Scandinavian FC withdrew after the first draw was conducted last month, they were forced to do a mini draw to place the two remaining teams in either Group A or B.
“We have now finalized the mini draw and action will start on August 28th with two games to be played at the Nyayo Stadium,” added Gecheo.
CECAFA

Simba Queens from Tanzania, Lady Doves (Uganda), PVP FC (Burundi) and FAD FC (Djibouti) are in Group A, while Kenya’s Vihiga Queens FC, Commercial Bank of Ethiopia, Yei Joint Stars (South Sudan) and New Generations (Zanzibar) are placed in Group B.
Winny Ayikoru, the Yei Joint Stars captain told CAF that they are very focused to perform well in this tournament. “Although we don't have a lot of experience playing at this stage, we have prepared well and should be able to put up good performances,” added Ayikoru.
The winner from the CECAFA qualifiers will join the other seven to battle in the 2021 TotalEnergies Women’s Champions League to be held in Egypt.

Source: CECAFA Zonal Women’s Champions League Qualifiers set | CAFOnline.com
 

Simba Queens send warning to EA rivals​

By Geoffrey Mwamburi For Citizen Digital
time updated
Published on: July 8, 2021 10:51 (EAT)

Simba Queens send warning to EA rivals

Simba Queens celebrate during a previous match. (PHOTO/Courtesy)

  • Tanzanian women’s Premier League champions Simba Queens have warned their East African rivals to expect a tough encounter when they clash at the Cecafa Club Championship
SIMBA QUEENS YAPANIA KIMATAIFA
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Simba Queens wameweka wazi kwamba wana imani ya kufanya vizuri katika mashindano ya Kimataifa.


Simba Queens kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wanatarajia kukutana nao kwenye michezo ya kusaka tiketi ya kwenda Ligi ya Mabingwa wa Afrika.


Simba wanatarajia kwenda nchini Kenya kwa ajili ua mashindano hayo ambayo yataanza kufanyika kuanzia tarehe 28 Agosti 2021 jijini Nairobi.

Meneja wa Simba Queens, Selemani Errasy Makanya amesema kuwa ana imani kwamba vijana wake wa watatwaa ubingwa wa Cecafa na kukata tiketi ya kwenda Champions League ambayo itafanyika baadae mwakani nchini Misri.

"Nina imani kuwa vijana wetu watanya vizuri na kutwaa ubingwa wa Cecafa na kupata tiketi ya kwenda ligi ya mabingwa kwa kuwa hiyo ndiyo dhamira yetu,” alisema Makanya.

Simba waliingia kambini tangu Juni 17 na wamekuwa wakipiga tizi ili kujiweka tayari kwa mashindano hayo
Source : SIMBA QUEENS WAPANIA KIMATAIFA
 
26 Aug 2021
Kampala, Uganda

CAF zonal CECAFA women's champions league qualifiers 28 August 2021 - 09 September 2021



Sourcec : Urban TV Uganda
 
Ni kweli kabisa alisema hayo maneno. Akiwa kama kiongozi wa nchi, tena Mwanamke hakupaswa kabisa kutamka hayo maneno dhidi ya Wanawake wenzake tena mbele ya vijana wa Kiume.

Kauli tata za viongozi huwa zinaleta ukakasi sana hasa kwa Wazungu. Kumbukeni yule Kiongozi wa Olympic kule Japan alivyoshambuliwa mpaka akajiuzulu baada ya kusema "wanawake wana ongea sana".

Kwa maneno hayo hata kama yalikuwa na ukweli lakini yalichukuliwa kuwa ni dharau kwa wanawake.

Sasa Madam SSH naye amesikika akisema, "wachezaji wanawake wanasura ngumu sana, ukimpeleka nyumbani Bi mkubwa atakushangaa na kukuuliza huyu ni mwanaume mwenzio au mwanamke"?

Ki ukweli Madam alikosea sana kusema hivyo. Naamini ataomba radhi maana Wazungu watamshikia bango mbaya. Ingekuwa ni nchi za wenzetu angeshajiuzulu.

Tutarajie FIFA womens org kutoa tamko kali sana kulaani matamshi ya Madam President SSH.

Swali la kujiuliza, hakuna watu wa kumwandikia hotuba Rais Samia?????
Kwa hiyo ukitaka kutoa kauli lazima uwafikirie wazungu wataichukuliaje? Au unamaanisha nini kaka?
 
26 August 2021

LIVE: CHAMA CHA SOKA LA WANAWAKE (TWFA) WANAZUNGUMZA NA WANAHABARI


Hivi nani anataka kuwagombanisha na Mheshimiwa Rais? Hivi siku hizi watu hawawezi kuongea bila kutoa sifa na shukrani kwa Mheshimiwa Rais kila baada ya dakika mbili? Nahisi hata yeye hapendezwi.

Amandla...
 
Miziwa ya Wanzabar wakati sisi Watanganyika tunapenda konzi saa sita😂😂😂
 
Naskia hao wachezaji wakike kwa kusagana Ni hatari Sana unashauriwa Kama mwanao wakike anakipaji chasoka tafadhali muweke mbali na kambi ya hao wachezaji wakike
 
Back
Top Bottom