Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,196
113,481
Rais anaongelea matiti tena ya wanawake wenzake?

This is beyond shameful, beyond embarrassing, and downright beyond the pale. Cringeworthy.

I’m at a loss for words!



Tanzania's President criticized for calling soccer women 'flat-chests'​


Tanzania's President Samia Suluhu Hassan has come under fire for remarks about women footballers having "flat-chests" and suggesting they would not be attractive candidates for marriage.

Hassan made the comments at a ceremony on Sunday to celebrate the victory of a national men's team in a regional football championship, where ironically she also called for better funding for women's sports.

"For those who have flat chests, you might think they are men and not women," she said at Sunday's event.

"And if you look at their faces you might wonder... because if you want to marry, you want someone who is attractive, a lady who has the qualities that you want."

She added that for the women footballers "those qualities have disappeared".

Hassan, who took office in March after the sudden death of her predecessor John Magafuli, is the only current serving female head of state in Africa alongside Ethiopia's President Sahle-Work Zewde, whose role is mainly ceremonial.

"Today they are making us proud as a nation when they bring trophies to the country but if you look at their lives in the future, when the legs are tired from playing, when they don't have the health to play, what life will they be living?" she said.

"The life of marriage is like a dream to them. Because even if one of you here takes them home as your wife, your mother will ask if they are a woman or a fellow man."
 
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati Rais akiwapokea wachezaji wa soka Ikulu alizua gumzo ya nini huwa anapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
Naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na Magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya Kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSR
Screenshot_20210823-223136.jpg

 
Kweli..? Ndo Kasema hivyo.!! ..Ila kama yupo Sahihi wengi nikiwacheki hao Mabinti Wanafanana na hiyo description ya Mama.....! Kawadhalilishaje Sasa?

Rais msikivu mh.SSH ameanza kuwa "scapegoat" wa kila mshambuliaji.....

#KaziIendelee
Mfundisheni rais wenu kuwa sio kila kitu ni chakuongea in public. Hata kama anaona anachoongea kinaweza kuwa na maana fulani lakini aangalie muda na mahali anapoongelea.

Ngoja feminists wamtafune kwanza.
 
Nimemsikiliza Mama ila kaonge ukweli,hawa madada wanasura Ngumu sajapata kuona sasa wanaitaji wapate Pesa kupitia mpira walau wanaweza kuja kujimudu wenyewe baada ya kustafu Mpira au wanaweza kutapa wanaume kupitia Pesa zao .
 
Rais msikivu mh.SSH ameanza kuwa "scapegoat" wa kila mshambuliaji.....

#KaziIendelee
Kweli..? Ndo Kasema hivyo.!! ..Ila kama yupo Sahihi wengi nikiwacheki hao Mabinti Wanafanana na hiyo description ya Mama.....! Kawadhalilishaje Sasa?
Habari kuu usiku wa leo

Kitendo Cha rais wa Tanzania Samia suluhu Hassan kusema kuwa wanawake wachezaji wa soka wanakuwa na vifua tambalale na sura ngumu na kutovutia kuolewa zimezua minong'ono ya kutaka aombe msamaha kwa kuwadhlilisha wanawake hasusani wachezaji wa soka BBC imeandika

Jana wakati rais akiwapokea wachezaji wa soka ikulu alizua gumzo ya nini huwaanapanga Kama alidhamilia kuongea au ulimi uliteleza kwa kuwa yeye ni mwanamke hakupaswa kuongea vile tena kwenye sherehe ya wacheza soka wanaume tu.

My take .
naona BBC nao wameanza Vita na rais wetu Kama walivyokuwa na magufuli hii inaprove wrong wale waliosema kuwa BBC hasa idhaa ya kiswahili imejaa mashekhe hivyo hawatamuandama mama.

USSRView attachment 1905388
Huwezi kuongea lugha ya kudhalilisha kiasi hicho uachwe tu
 
Ni kweli kabisa alisema hayo maneno. Akiwa kama kiongozi wa nchi, tena Mwanamke hakupaswa kabisa kutamka hayo maneno dhidi ya Wanawake wenzake tena mbele ya vijana wa Kiume.

Kauli tata za viongozi huwa zinaleta ukakasi sana hasa kwa Wazungu. Kumbukeni yule Kiongozi wa Olympic kule Japan alivyoshambuliwa mpaka akajiuzulu baada ya kusema "wanawake wana ongea sana".

Kwa maneno hayo hata kama yalikuwa na ukweli lakini yalichukuliwa kuwa ni dharau kwa wanawake.

Sasa Madam SSH naye amesikika akisema, "wachezaji wanawake wanasura ngumu sana, ukimpeleka nyumbani Bi mkubwa atakushangaa na kukuuliza huyu ni mwanaume mwenzio au mwanamke"?

Ki ukweli Madam alikosea sana kusema hivyo. Naamini ataomba radhi maana Wazungu watamshikia bango mbaya. Ingekuwa ni nchi za wenzetu angeshajiuzulu.

Tutarajie FIFA womens org kutoa tamko kali sana kulaani matamshi ya Madam President SSH.

Swali la kujiuliza, hakuna watu wa kumwandikia hotuba Rais Samia?????
 
Nimemsikiliza Mama ila kaonge ukweli,hawa madada wanasura Ngumu sajapata kuona sasa wanaitaji wapate Pesa kupitia mpira walau wanaweza kuja kujimudu wenyewe baada ya kustafu Mpira au wanaweza kutapa wanaume kupitia Pesa zao .
Sasa wafanye Je ?!. Ni maumbo waliopewa na Mwenyezi Mungu !!. Wajiumbe upya ?!

Kusema Jambo ambalo huwezi kulirekebishi ni upungufu nao . Wafanye Je !!
 
Back
Top Bottom