Kwani mpare hawezi kuwa Mzanzibari? unapata shida sana mkuu, Wakati mwenyewe amethibitisha na kusema yeye ni Mzanzibari wewe tatizo lako ni nini?Big NOO. Usangi safi. Hata ukimuangalia unauona uso wa kipare
Kwani mpare hawezi kuwa Mzanzibari? unapata shida sana mkuu, Wakati mwenyewe amethibitisha na kusema yeye ni Mzanzibari wewe tatizo lako ni nini?Big NOO. Usangi safi. Hata ukimuangalia unauona uso wa kipare
Kwel?Ni mmachame
Aibu nimeona mm.Watanzania tunakubali kweli mwingereza ambaye mda wote akiwa BBC amekuwa mpinzani wa system yetu na mtu ambaye amekuwa akizi-challenge serikali zetu na ambaye identy yake haijulikani, kuwekwa kwenye position ambayo ni very delikcate kama hii Ikulu?
Watanzania mnaelewa lakini mambo mnayotendewa mbele ya macho yenu na Rais ambaye hana hata feeling ya maisha watanzania?
Ni kitu cha kusikitisha sana kuona Rais ambaye slogan yake ni maendelezo ya kazi iliyo anzishwa na mwenzake, badala ya kuendeleza kazi hiyo ili vijana waweze kuwa na kipato chenye uhakika, yeye anawarudisha watanzania tena nyuma kwenye hali ya wasi wasi na isiyo na uhakika.
Ana malengo gani huyu mama na watanzania? Mbona naona ni racist mkubwa sana wa kijinsia?View attachment 2104029
Eboo?
Yaliopo ndan ya nyoyo ni ashadu minal ballaa kushind yadhihirishwayoHapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Mkuu kuna mchaga bila jina la ukoo wa kichaga,,Mfano Meku? Au Masawe?nk
Unajichanganya sasa. Mpare anaweza kuwa mzanzibari kama atakuwa na sifa hizo lakini yaye hana hizo sifa. Naamini hajawahi kusema "straight" yeye mzanzibari, fuatilia vizuri. Amesema anahusiana hukohuko. Mnyamwezi mwenzenu huyo msimbagueKwani mpare hawezi kuwa Mzanzibari? unapata shida sana mkuu, Wakati mwenyewe amethibitisha na kusema yeye ni Mzanzibari wewe tatizo lako ni nini?
That is the truth of the matter. Udini uliokithiri ambao haujawahi kutokea.Hapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Hakuna mtu aliyekuaga mdini km mwenda zake angalia Baraza lake la mawaziri na vigogo wake Ila Muslims hawakua wakilalamika.Acheni ulalamishi nchi yetu soteThat is the truth of the matter. Udini uliokithiri ambao haujawahi kutokea.
Fuatilia bbcWeka ushahidi japo kidogo wa kusapoti mada
Mama kateuatukumbushe mkuu alipotukana, ni vyema ukasupport na video au ujumbe wake wamatusi kwetu Watanzania aka washenzi wa bara ( kwa sauti ya kipemba)..