Rais Samia ampongeza Dkt.Tulia Kushinda Urais IPU

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais Samia Suluhu amempongeza Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

“Pongezi za dhati kwa Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Ushindi huu ni ushuhuda wa kazi kubwa unayoendelea kuifanya na imani wajumbe waliyo nayo juu yako na nchi yetu.

Kuchaguliwa kwako pia ni matokeo ya miaka mingi ya kazi, weledi na kujituma katika utumishi wa umma, mfano bora kwa watoto wa kike katika nchi yetu, Afrika na hata nje ya mipaka ya bara letu,” ameandika Rais Samia.

Screenshot 2023-10-27 at 17.19.41.png
 
The Inter-Parliamentary Union (IPU) consists of all national parliaments around the world, currently comprising 179 member parliaments. Each member parliament designates a delegation of MPs to represent them in IPU activities.

The role of the IPU is to facilitate dialogue, exchange of experiences, and cooperation among parliaments. Its key objectives are:

1. Promoting parliamentary democracy: The IPU encourages the establishment, development, and strengthening of democratic systems by providing a platform for parliaments to exchange ideas and share best practices.

2. Peace and international security: The IPU supports efforts to prevent conflicts, resolve disputes through peaceful means, and promote disarmament and arms control measures.

3. Gender equality: The IPU promotes gender equality and the empowerment of women in parliaments, advocating for increased women's political participation and leadership roles.

4. Sustainable development: The IPU focuses on advancing sustainable development goals and encouraging parliaments to integrate sustainable practices in legislation and policies.

5. Human rights: The IPU works to protect and promote human rights globally, with a particular emphasis on ensuring the respect, protection, and fulfillment of individual rights across member countries.

6. Support for parliaments: The IPU provides technical assistance, capacity-building programs, and training for parliamentarians and parliamentary staff to strengthen their institutional capacity and effectiveness.

Through its various activities, such as conferences, meetings, and programs, the IPU serves as a platform for cooperation, advocacy, and information sharing among parliaments worldwide.
 
Rais Samia Suluhu amempongeza Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

“Pongezi za dhati kwa Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Ushindi huu ni ushuhuda wa kazi kubwa unayoendelea kuifanya na imani wajumbe waliyo nayo juu yako na nchi yetu.

Kuchaguliwa kwako pia ni matokeo ya miaka mingi ya kazi, weledi na kujituma katika utumishi wa umma, mfano bora kwa watoto wa kike katika nchi yetu, Afrika na hata nje ya mipaka ya bara letu,” ameandika Rais Samia.

View attachment 2794794
Vyeo vya kijinga, ni sawa na kumpongeza mtoto wako kuwa dada mkuu huko shuleni. Kwa Tulia wangalau ni cheo Cha maana, kwani ndio cheo Pekee anachoweza kushinda bila wizi ama mbeleko ya vyombo vya Dola.
 
Rais Samia Suluhu amempongeza Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

“Pongezi za dhati kwa Spika wa Bunge letu, Dk Tulia Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU).

Ushindi huu ni ushuhuda wa kazi kubwa unayoendelea kuifanya na imani wajumbe waliyo nayo juu yako na nchi yetu.

Kuchaguliwa kwako pia ni matokeo ya miaka mingi ya kazi, weledi na kujituma katika utumishi wa umma, mfano bora kwa watoto wa kike katika nchi yetu, Afrika na hata nje ya mipaka ya bara letu,” ameandika Rais Samia.

View attachment 2794794
Hongera zake sana Tulia.

Ntamani nimuone na mtandio kichwani, atapendeza sana.
 
Ukifanya mambo ambayo wao wanataka, watakupa sifa zote Ili ulewe zaidi.

Aende akawatumikie, kwetu ndio muongoza bunge linaloburuzwa na lisilo na maamuzi kama ya watangulizi wake.
 
Hongera zake sana Tulia.

Ntamani nimuone na mtandio kichwani, atapendeza sana.
Watu serious hawagombei vyeo vya aina hiyo. Kwa watu wenye uhaba wa kushinda kwa kura halali, huo ni bonge ya ushindi, na bonge la cheo! Lakini kwa sisi wengine hicho cheo hakina tofauti na cheo Cha dada mkuu huko primary school.
 
Back
Top Bottom