benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki hafla ya chakula cha mchana alichowaandalia Wachezaji na Viongozi wa Timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 15 (Karume Boys), Ikulu Tunguu visiwani Zanzibar leo tarehe 25 Novemba, 2023 ameizawadia timu hiyo Shilingi Milioni 50
Rais Samia Ameunga mkono zoezi la kuchangia timu hiyo lililoanzishwa na ZBC ambapo mpaka sasa kuna ahadi ya Shilingi Milioni 90 huku Milioni 40 zikiwa zimeshakusanywa
Rais Samia Ameunga mkono zoezi la kuchangia timu hiyo lililoanzishwa na ZBC ambapo mpaka sasa kuna ahadi ya Shilingi Milioni 90 huku Milioni 40 zikiwa zimeshakusanywa