Rais Samia afanya uteuzi wa Mbunge wa Bunge

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Jan 12, 2019
328
414
Ni yule aliyekuwa Katibu Mkuu wa SADC.

FB_IMG_1631263160243.jpg
 
SSH anafanya mabadiliko baraza la mawazri jumamosi kesho, leo anateua kwanza, keep updated.
 
Kuna uchenjuaji wa baraza waja ama?

Huwa sioni sababu, wala faida ya wabunge wa kuteuliwa kama mtu huyo hapewi uwaziri...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom