Rais Samia aepuke kufanya mambo ya kitaifa kimyakimya ni ishara ya kukosa uwazi na kutokujiamini

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,825
18,569
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
 
Huwa nishawahi kuwaza endapo rais akaenda nje ya nchi kwa ziara binafsi pasipo public kujua. Halafu kwenye nchi ya watu likampata la kumpata huko ,sijui tutaambiwa nini kwa kweli.
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Punguza ujuaji wa kindezi Mkuu utakuja kunishukuru baadae
 
LIKE FAZA LIKE SANI
This was magufuli
Screenshot_20230726-155228.png


And today we are talking about samia
 
LIKE FAZA LIKE SANI
This was magufuli View attachment 2699745

And today we are talking about samia
Kitu cha kustajabisha Rais wa nchi anasafiri kimya kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi yuko nchi gani! Leo tunaambiwa yuko Dubai next tunaambiwa yuko Saudia without any explanation to the nation! There must be something wrong somewhere!!
Samia ana matatizo yamezidi uwezo wake! Tumezoea kuambiwa Rais wetu amesafiri kwenda mahala fulani: kama Samia anasafiri bila kutoa taariafa hivyo nchi haitakuwa liable kwa lolote litakalompata huko anakotangatanga!
 
Kitu cha kustajabisha Rais wa nchi anasafiri kimya kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi yuko nchi gani! Leo tunaambiwa yuko Dubai next tunaambiwa yuko Saudia without any explanation to the nation! There must be something wrong somewhere!!
Samia ana matatizo yamemzidi uwezo wake! Tumezoea kuambiwa Rais wetu amesafiri kwenda mahala fulani: kama Samia anasafiri bila kutoa taariafa hivyo nchi haitakuwa liable kwa lolote litakalompata huko anakotangatanga!
Kaamua atususie watanzania.🤣🤣🤣🤣🤣! Kuna siku yatampata ya kumpata huko. Na wanavyoficha aibu kwao!
 
Hata Nje ya Nchi pia kuna Viwanda vya Uongo

hii inanikumbusha ya Wilbroad Slaa kuwapnga Nyumbu kuwa Rais Kikwete alienda kimya kimya China kumtoa Gerezani Ridhwaani baada ya kukamatwa kwa biashara haramu ya dawa za kulevya, mama kawaida ya Nyumbu ukiwatungia Jabari yeyote wanayoipenda kuisikia lazima waamini

Rais wa Nchi tena Nchi yenyewe Tanzania aende Kenya kusuluhisha kimya kimya bila ya kuwa na uhakika kama mmoja wa wanaosuluhishwa hasa Rais Ruto kama yuko tayari kwa suluhu au laa.
 
Huwa nishawahi kuwaza endapo rais akaenda nje ya nchi kwa ziara binafsi pasipo public kujua. Halafu kwenye nchi ya watu likampata la kumpata huko ,sijui tutaambiwa nini kwa kweli.
Jana ndege yake imeonekana Dubai then ikaenda Saudi Arabia kimya kimya😄😄
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Wewe tulia, tazama tovuti ya Ikulu. Una mcho hayaoni> Una masikio hayasikii?

La bandari mtaumia sana, haliongelei kabisa, yeye kishamaliza kzi yake hapo, sasa kuna kina Mkumbo na Wakurugenzi wa bandari, mjuwane nao hao.
 
Wewe tulia, tazama tovuti ya Ikulu. Una mcho hayaoni> Una masikio hayasikii?

La bandari mtaumia sana, haliongelei kabisa, yeye kishamaliza kzi yake hapo, sasa kuna kina Mkumbo na Wakurugenzi wa bandari, mjuwane nao hao.
 
Hata Nje ya Nchi pia kuna Viwanda vya Uongo

hii inanikumbusha ya Wilbroad Slaa kuwapnga Nyumbu kuwa Rais Kikwete alienda kimya kimya China kumtoa Gerezani Ridhwaani baada ya kukamatwa kwa biashara haramu ya dawa za kulevya, mama kawaida ya Nyumbu ukiwatungia Jabari yeyote wanayoipenda kuisikia lazima waamini

Rais wa Nchi tena Nchi yenyewe Tanzania aende Kenya kusuluhisha kimya kimya bila ya kuwa na uhakika kama mmoja wa wanaosuluhishwa hasa Rais Ruto kama yuko tayari kwa suluhu au laa.

IMG_4116.jpg

Ni kweli alienda kimya kimya tena usiku
 
Wewe tulia, tazama tovuti ya Ikulu. Una mcho hayaoni> Una masikio hayasikii?

La bandari mtaumia sana, haliongelei kabisa, yeye kishamaliza kzi yake hapo, sasa kuna kina Mkumbo na Wakurugenzi wa bandari, mjuwane nao hao.



Unasema la bandari mataumia sana?

Unadhihaki wananchi ?

Watu wakiwa kwenye sintofahamu wewe unaleta kejeli?

Hivi unafahamu wakati mjadala na taharuki ikiendelea Kuna watu walipaswa wawe wameanza kuwajibika Kwa kujiuzuru Kwa hiyari Kwa kujipima wenyewe kabla ya shinikizo toka Kwa wananchi na Viongozi wengine?
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
hamna rais Tanzania kuna kivuli tu hapa
 
Back
Top Bottom