Rais Samia aduwaza wachumi nchini

Rais Samia aduwaza wachumi nchini

Nchi imemshinda uyu kil kitu kimepanda bei yeye anashinda kulegeza macho
 
Wanafunzi vyuoni wanaacha masomo kwa kupewa ada za ajabu, then hela inapelekwa kwenye masuala hayo, halafu less thinkers Kama nyie mnafurahi
 
Akili ya matumizi ndiyo inayo mfanya mtu kuwa na maendeleo makubwa, tatizo kwa viongozi wetu kubwa lipo kwenye akili ya matumizi

Viongozi wetu akili yao wakiona hizo reserves zimeongezeka basi akili yote inahamia jinsi ya kuzitumia kama vile kununua ndege bila hata kuwa na tafakuri ya kina!! Leo unaagiza ndege mpya nne eti zisaidie kuleta watalii; wakati nchi wanakotegemea hao watalii watoke wamewekewa vikwazo vya kusafiri kwasababu ya haya maradhi ya jamii ya corona!!! Sasa Kweli hiyo ni busara ya aina gani kama sio kufuja mali ya Wananchi?
 
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi.

Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba.

Ongezeko hili ni karibu TZS 2 trilioni linalomfanya Rais Samia ndani ya kipindi chake hiki kifupi kuongeza Jumla ya TZS 4Trilion kwenye hifadhi ya fedha za kigeni,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na Rais yeyote wa awamu yeyote

Ongezeko hili linachangizwa zaidi na uuzaji nje (Exports) wa bidhaa pamoja na huduma hasa mazao ya Chakula kama mchele, Mahindi, maharagwe na mboga mboga.

Kwamsiojua,ongezeko hili ni mbali ya ongezeko la gharama za uagizaji mafuta nje zilizokua kwa 18.3% nakufikia $1.7BL

Jambo la Pili ni Uwekezaji mkubwa kutoka inje Foreign Direct Investments (FDIs) uliofikia $2.9BL sawa na TZS 6.7Trilioni.

Ukuaji huu wa uwekezaji ni sawa na mara sita zaidi ya uwekezaji wote uliofanywa mwaka uliopita katika kipindi kama hicho cha kati ya Mwezi Machi na Agosti.

Ongezeko hili linaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua karibu miezi saba rekodi ambayo haijawahi kufikiwa tangu kuwako wa Taifa hili miaka sitini (60) iliyopita.

Tanzania kwa sasa ndio nchi inayokuza hifadhi yake kwa kasi Ukanda mzima wa Africa Mashariki na Tumevuka lengo la EAC lakuwa na akiba ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5

Ni kweli ametuduwaza kwa nonsense sense of thing and saying nonsense many times. Nonsense
 
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi.

Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba.

Ongezeko hili ni karibu TZS 2 trilioni linalomfanya Rais Samia ndani ya kipindi chake hiki kifupi kuongeza Jumla ya TZS 4Trilion kwenye hifadhi ya fedha za kigeni,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na Rais yeyote wa awamu yeyote

Ongezeko hili linachangizwa zaidi na uuzaji nje (Exports) wa bidhaa pamoja na huduma hasa mazao ya Chakula kama mchele, Mahindi, maharagwe na mboga mboga.

Kwamsiojua,ongezeko hili ni mbali ya ongezeko la gharama za uagizaji mafuta nje zilizokua kwa 18.3% nakufikia $1.7BL

Jambo la Pili ni Uwekezaji mkubwa kutoka inje Foreign Direct Investments (FDIs) uliofikia $2.9BL sawa na TZS 6.7Trilioni.

Ukuaji huu wa uwekezaji ni sawa na mara sita zaidi ya uwekezaji wote uliofanywa mwaka uliopita katika kipindi kama hicho cha kati ya Mwezi Machi na Agosti.

Ongezeko hili linaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua karibu miezi saba rekodi ambayo haijawahi kufikiwa tangu kuwako wa Taifa hili miaka sitini (60) iliyopita.

Tanzania kwa sasa ndio nchi inayokuza hifadhi yake kwa kasi Ukanda mzima wa Africa Mashariki na Tumevuka lengo la EAC lakuwa na akiba ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5

Nonsense! Kweli kadumaza wengi kwa Nonsense!
 
Yeye ni Mungu wa kuzuia ukame? Kwa akili zake sasa ndio unaona anakomaa na gas Ili hata ukame ukija usipate Mgao.

Samia anawanyima usingizi,go Samia go hadi nyongo ziwatokee puani 👇

View attachment 2018239

View attachment 2018240

View attachment 2018241

View attachment 2018242

View attachment 2018243

View attachment 2018244

View attachment 2018245

View attachment 2018246

View attachment 2018247
Nimeangalia ulichopost nikaoanisha na akili yako nikapata jibu.

But nakushauri uwe unasoma ili uelewe, siyo kukopi kila kitu, pia kuna mambo yasiyo hitaji nguvu, sisi ndiyo nchi mojawapo yenye kila aina ya vivutio na mali asili yakiwemo maziwa na mito, lakini tuna mgao wa maji na uhaba wa mvua!.

Kwa akili yako hapo kwenye mvua utasema "Mungu" NO Mungu ameshatupatia akili na uwezo wa kufanya kila lililo jema kwa mustakabali wa uhai wetu, ndiyo maana Misri wapo jangwani lakini wanavuna mazao na hawana mgao wa maji, huo mfano mdogo tu.

Labda kama wewe na mtoa mada ndiyo wale mlioifanya ccm kuahika namba moja kuwa na followers wengi au ndiyo wale mlioletwa kusifu na kuabudu naweza kukuelewa vinginevyo, twendeni taratibu, nchi yetu sote hii.
 
Nimeangalia ulichopost nikaoanisha na akili yako nikapata jibu.

But nakushauri uwe unasoma ili uelewe, siyo kukopi kila kitu, pia kuna mambo yasiyo hitaji nguvu, sisi ndiyo nchi mojawapo yenye kila aina ya vivutio na mali asili yakiwemo maziwa na mito, lakini tuna mgao wa maji na uhaba wa mvua!.

Kwa akili yako hapo kwenye mvua utasema "Mungu" NO Mungu ameshatupatia akili na uwezo wa kufanya kila lililo jema kwa mustakabali wa uhai wetu, ndiyo maana Misri wapo jangwani lakini wanavuna mazao na hawana mgao wa maji, huo mfano mdogo tu.

Labda kama wewe na mtoa mada ndiyo wale mlioifanya ccm kuahika namba moja kuwa na followers wengi au ndiyo wale mlioletwa kusifu na kuabudu naweza kukuelewa vinginevyo, twendeni taratibu, nchi yetu sote hii.
Chuki kwa Samia zitakatiza maisha yako mapema Sana ..

Go Samia go 👇

Screenshot_20211129-150310.png


Screenshot_20211129-150031.png


Screenshot_20211129-150658.png


Screenshot_20211129-132300.png


Screenshot_20211129-065529.png


Screenshot_20211129-065400.png


Screenshot_20211129-065248.png


Screenshot_20211129-065142.png


Screenshot_20211129-065227.png


Screenshot_20211129-065553.png


Screenshot_20211129-065942.png


Screenshot_20211129-070049.png


Screenshot_20211201-065711.png
 
Kazi kubwa na nzuri anazozifanya Rais Samia Suluhu Hassan zimewaduwaza wachumi.

Hii ni baada ya akiba ya fedha za kigeni (Gross official foreign reserves) kuongezeka zaidi ndani ya miezi miwili tu nakufikia $6.7BL sawa na TZS 15.41 kutoka $5.9BL sawa na TZS 13.57 mwezi Septemba.

Ongezeko hili ni karibu TZS 2 trilioni linalomfanya Rais Samia ndani ya kipindi chake hiki kifupi kuongeza Jumla ya TZS 4Trilion kwenye hifadhi ya fedha za kigeni,rekodi ambayo haijawahi kufikiwa na Rais yeyote wa awamu yeyote

Ongezeko hili linachangizwa zaidi na uuzaji nje (Exports) wa bidhaa pamoja na huduma hasa mazao ya Chakula kama mchele, Mahindi, maharagwe na mboga mboga.

Kwamsiojua,ongezeko hili ni mbali ya ongezeko la gharama za uagizaji mafuta nje zilizokua kwa 18.3% nakufikia $1.7BL

Jambo la Pili ni Uwekezaji mkubwa kutoka inje Foreign Direct Investments (FDIs) uliofikia $2.9BL sawa na TZS 6.7Trilioni.

Ukuaji huu wa uwekezaji ni sawa na mara sita zaidi ya uwekezaji wote uliofanywa mwaka uliopita katika kipindi kama hicho cha kati ya Mwezi Machi na Agosti.

Ongezeko hili linaweza kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua karibu miezi saba rekodi ambayo haijawahi kufikiwa tangu kuwako wa Taifa hili miaka sitini (60) iliyopita.

Tanzania kwa sasa ndio nchi inayokuza hifadhi yake kwa kasi Ukanda mzima wa Africa Mashariki na Tumevuka lengo la EAC lakuwa na akiba ya kuagiza bidhaa na huduma nje kwa kipindi kisichopungua miezi 4.5

Anavuna matunda ya kazi ya magufuli
 
HAKUNA CHUKI YOYOTE HAPA, Ila tunaandika real effect nadhani hata wakati wa Magufuli tuliposema ulisema ni chuki.

Ukifika wakati wa kupata watoto naomba uje uniambie niliandika chuki.

Yaani watoto wote uwalazimishe wakutii na kukupenda kisa wewe ni mzazi wao mmh!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom