vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,311
- 10,352
Twende mbele turudi nyuma, hilo ongezeko litamtokea mtu puani kampeni za uchaguzi ujao, mtaani kwetu mambomba mengi yamefungwa wameshindwa kulipa bili ya August ambayo wengi imerange elfu 50 mpaka 80 kwa matumizi ya kawaida, hata mimi niliona ni maajabu, swala lakwenda Goldcrest sio kila mtu anaweza ndio maana tukawachagua wawakilishi wetu ambao wanakula kila mwisho wa mwezi kwaajili ya kazi hizo "kutuwakilisha" cha pili Goldcrest sio accessible kwa all type of people, je Muwsa ipo mjini tu ? inamatawi maeneo kibao kama Buzuruga, mbona hawakwenda huko kuchukua maoni? Toka nimekaa maeneo yote ya Tanzania sijaona sehemu yenye gharama za juu za maji kama Mwanza, Cha ajabu kuna ziwa lenye fresh water lakini ukitembea km moja kwenda ndani Hakuna maji ya Muwsa kabisa (From Busisi to Usagara) hii HAIKUBALIKI...Acha hadithi za abunuasi. Unakurupuka leo kupost kitu ambacho tunajua Mwauwasa kabla ya kupandisha bei waliruhusiwa na Ewura. Walipoita wadau kuja GoldCrest kutoa maoni yao ulikuwa wapi? Ulisubiri ili baadae ujifiche nyuma ya keyboard uanze kulalamika?
Gharama lazima zipande with time. Cum 1 kuinunua kwa bei hiyo ni fair tu. Mamlaka zinaotoza 1,800 mbona wateja hawajaandamana. Weka constraints zote kama zamani(constant) alafu bei ikipanda utaruhusiwa kuropoka.